round kick
JF-Expert Member
- Feb 3, 2025
- 345
- 1,145
Blogging sio kazi yangu, naweza kusema ni kama aina ya mti nilioupanda mimi navuna tu, nina shughuli zingine
Watu wengi wanapofungua blog wazo linalowajia, ngoja nifanye kama blogger flani niposti habari za michezo, miziki, udaku, n.k. hapa ndipo watu wengi sana wanafeli na kuzifunga blogs zao kwasababu zinakosa watembeleaji
Out of nowhere ufungue blog ya ajira ni ngumu kushindana na kina Millard ayo na magwiji wengine, utapigwa kanzu hasa ukizingatia wao wana majina tayari na wamesomea uandish wa habari na wameajiri vijana.
Bloggers wakubwa vipato vyao wanategemea matangazo, mfano blogger maarufu anapata watazamaji laki kila siku, kampuni za hapa hapa kwetu zinaweza kumuomba atangazie biashara zao kwa dau flani lets say milioni kila mwezi, ni kampuni moja tu hilo. unakuja kwa google hawa wanalipa kama dola 1 kwa kila watazamaji elfu moja ambayo ni sawa na shilingi 2,500, so matangazo yanafaa zaidi bloggers wenye watembeleaji
mimi nilianzisha blog yangu kama hobby tu, kuandika vitu ninavyovijua kwa undani, nilikuwa napata viewer kama 10 tu kwa wiki, baada ya research binafsi nikaona nijikite na kitu kimoja tu ambacho tupo bloggers wachache sana, yani blog iwe imejaa taarifa au habari za kitu flani tu mwanzo mwisho,
Kwa mfano blog iwe inazungumzia chunusi tu, unajaza posts kama
Muda unavyozidi kwenda nikawa naona napata watembeleaji hata 200 kwa siku, hawa siwezi kuwafanya waniingizie pesa kwa matangazo, so nikaumiza kichwa na research nikaamua niwe nauza products na maarifa yangu.
nilianza kuandika vitabu vya page 8 hadi 10 navisave kwenye pdf nauza elf 10 naviambatanisha kwenye blog pamoja na namba yangu ya whatsapp naviuza, mwaka huu baada ya requests nyingi za kuulizwa sana ipi original, ipi feki, ipi inafaa, n.k, nimeanza kuwauzia bidhaa kwa order kwa faida nzuri, huwa naziacha sehemu wanazipitia , ningekuwa na muda zaidi ningeanzisha group la whatsapp kwa ada ya uanachama ila shughuli nyingine zimenibana.
Watu wengi wanapofungua blog wazo linalowajia, ngoja nifanye kama blogger flani niposti habari za michezo, miziki, udaku, n.k. hapa ndipo watu wengi sana wanafeli na kuzifunga blogs zao kwasababu zinakosa watembeleaji
Out of nowhere ufungue blog ya ajira ni ngumu kushindana na kina Millard ayo na magwiji wengine, utapigwa kanzu hasa ukizingatia wao wana majina tayari na wamesomea uandish wa habari na wameajiri vijana.
Bloggers wakubwa vipato vyao wanategemea matangazo, mfano blogger maarufu anapata watazamaji laki kila siku, kampuni za hapa hapa kwetu zinaweza kumuomba atangazie biashara zao kwa dau flani lets say milioni kila mwezi, ni kampuni moja tu hilo. unakuja kwa google hawa wanalipa kama dola 1 kwa kila watazamaji elfu moja ambayo ni sawa na shilingi 2,500, so matangazo yanafaa zaidi bloggers wenye watembeleaji
mimi nilianzisha blog yangu kama hobby tu, kuandika vitu ninavyovijua kwa undani, nilikuwa napata viewer kama 10 tu kwa wiki, baada ya research binafsi nikaona nijikite na kitu kimoja tu ambacho tupo bloggers wachache sana, yani blog iwe imejaa taarifa au habari za kitu flani tu mwanzo mwisho,
Kwa mfano blog iwe inazungumzia chunusi tu, unajaza posts kama
- Vipodozi bora kwa ngozi yenye chunusi
- Njia za kuondoa chunusi kwa haraka
- Sababu za chunusi na jinsi ya kuzizuia
- Vipodozi vya asili vya kutibu chunusi
- Jinsi ya kutunza gari lako ili lidumu kwa muda mrefu
- Makosa ya kuepuka unapofanya matengenezo ya gari
- Gharama za matengenezo ya gari Tanzania
Muda unavyozidi kwenda nikawa naona napata watembeleaji hata 200 kwa siku, hawa siwezi kuwafanya waniingizie pesa kwa matangazo, so nikaumiza kichwa na research nikaamua niwe nauza products na maarifa yangu.
nilianza kuandika vitabu vya page 8 hadi 10 navisave kwenye pdf nauza elf 10 naviambatanisha kwenye blog pamoja na namba yangu ya whatsapp naviuza, mwaka huu baada ya requests nyingi za kuulizwa sana ipi original, ipi feki, ipi inafaa, n.k, nimeanza kuwauzia bidhaa kwa order kwa faida nzuri, huwa naziacha sehemu wanazipitia , ningekuwa na muda zaidi ningeanzisha group la whatsapp kwa ada ya uanachama ila shughuli nyingine zimenibana.