Umemwambia ukweli mtupu,petrol statipn ni biashara ya mamilioni then anaomba ushauri kwetu wamachinga...Shida moja kubwa Ni kwamba unaowaomba ushauri humu wengi wao hata biasharaa za million 9 wanazisoma kwenye threads. Wewe mwenyewe na wasiwasi kama una kituo cha mafuta kweli.. naona mengi kwenye game hujayajua"
Joke tu😊
Jidanganye tuBiashara za kununua na kuuza zina changamoto sana, ukiringanisha na biashara za kutengeneza na kuuza
Umejuaje labda wakikuona ndo wanaigizaMkuu wahudumu wangu wapo poa niwatu wastory wachangamfu
Wabongo wanapenda rahisi , shusha Bei kidogo chini ya wahasimu wako.Pia weka camera ili ufuatilie tabia za wahudumu na biasharaWakuu Kama nilivoelezea hapo hapo juu namiliki kituo Cha mafuta. Nina changamoto yakushuka mauzo kulinganisha nahapo awali mauzo yamepungua baada yakuongezeka vituo viwili vingne vya mafuta. Nini nifanye kuongeza mauzo au kuvuta wateja Zaid ukizingatia washindani wangu wana nguvu zaid yangu maana hawakodi magari Bali wana magari yao yakuwabebea mafuta pindi waendapo nunua mafuta katika madepot ya jumla. Sasa wakuu nin nifanye kuongeza mauzo ktk Hali hii
Uza oil mkoa ninapoishi kuna kituo cha mafuta kumwaga oil bure ila lazima ununue kwa oil na filter, pia upepo bure. Huw naendeshs 5km kwenda kuweka mafuta kwao. Sio hasara kwangu kwan huwa ni full tank mwezi unakataHizo service zakumwaga oil wheel alignment zinakua za free au
[emoji15][emoji15] hiyo hela ni nyingi sana mkuuPunguza sh.100 kwa lita moja ya petrol na ya diesel
mkuu anza na wafanyakazi wako,Wakuu Kama nilivoelezea hapo hapo juu namiliki kituo Cha mafuta. Nina changamoto yakushuka mauzo kulinganisha nahapo awali mauzo yamepungua baada yakuongezeka vituo viwili vingne vya mafuta. Nini nifanye kuongeza mauzo au kuvuta wateja Zaid ukizingatia washindani wangu wana nguvu zaid yangu maana hawakodi magari Bali wana magari yao yakuwabebea mafuta pindi waendapo nunua mafuta katika madepot ya jumla. Sasa wakuu nin nifanye kuongeza mauzo ktk Hali hii
Sasa mkuu sisi madereva tutakula wapi?WMA hawacheki. Pump ikibana mafuta fine yake ni kubwa sana.
Weka kituo nadhifu, weka zawadi wa wateja ambao ni loyal.
Epuka sana uuzaji wa receipts na hili wanapenda sana madereva wa makampuni na daladala.
Ni ugonjwa hasa kwenye masheli.
All the best.
Watu wana maushauri na mawazo mazuri ya kibiashara kuliko hata wewe unaejidharau ila wamekosa mtaji tu, mawazo bora hata kuliko mwenye mtaji wa milioni 100 anaekua kwenye field so usichukulie akili za watu poa jifunze kwa watu sio kudidimiza hoja zao kwa hoja afifu kama hii,...Shida moja kubwa Ni kwamba unaowaomba ushauri humu wengi wao hata biasharaa za million 9 wanazisoma kwenye threads. Wewe mwenyewe na wasiwasi kama una kituo cha mafuta kweli.. naona mengi kwenye game hujayajua"
Joke tu[emoji4]
Ndugu Muombe Mungu kila asubuhi unapoanza biashara Mungu ndiye Muweza yote kama watu wanatumia mashetani kuleta mvuta katika biashara wewe mtumie Mungu muumba mbingu na ardhi atakusaidia sana jua biashara ni imani imani yako ipo wapi ? Mwamini Mungu utaniambiaWakuu Kama nilivoelezea hapo hapo juu namiliki kituo Cha mafuta. Nina changamoto yakushuka mauzo kulinganisha nahapo awali mauzo yamepungua baada yakuongezeka vituo viwili vingne vya mafuta. Nini nifanye kuongeza mauzo au kuvuta wateja Zaid ukizingatia washindani wangu wana nguvu zaid yangu maana hawakodi magari Bali wana magari yao yakuwabebea mafuta pindi waendapo nunua mafuta katika madepot ya jumla. Sasa wakuu nin nifanye kuongeza mauzo ktk Hali hii
Wabongo bwanaNimeshawahi kufanya kazi kama hiyo kuna kampuni ilikuwa inapata wateja wachache vituo vyake vya mafuta kwa Mwanza, Arusha, Dar Es Salaam na Mbeya.
Nilimfanyia marketing mystery shopping Observation kwa muda wa miezi 3 na matokeo aliyapata mazuri mpaka sasa ananishukuru sana. Nilimtengenezea Questionnaire ikiwa na baadhi ya vitu kama ifuatavyo;
Forecourt Experience
The forecourt experience takes place as you drive into the filling station. This includes your interaction with the petrol attendant and the condition of the forecourt. Please take note of the following when evaluating the forecourt:
If the mystery shopper is served by two or more attendants, you must note only the principal provider of service’s name. Regarding additional services: points are to be rewarded for additional services offered regardless of which attendant offered the service. You should not mark down the attendant for offering to clean the windscreen or offer additional services even if this only takes place after they have handed the receipt to the mystery shopper. Additional service and windscreen cleaning must be evaluated positively as long as the attendant hasn’t wished the mystery shopper goodbye / farewell.
Full uniform includes the attendant wearing a name badge
The mystery shopper is required to give detailed comments if you answer NO to anything
Forecourt attendants may not wear a Quick Shop uniform and vice versa.
Handwritten cards strung over the neck with tape or string are NOT a replacement for staff name badges
Chumbi inasaidia nin..ahsante nami nafikiria kuboresha Zaid hudumaUsifanye mashindano bali boresha huduma zako na kila kukipmbazuka usiache kumwaga chumvi eneo lote hasa maingilio
Mkuu ukisema utoe bonus yaan utatoa bonus Zaid ya mshahara wake hata Zaid ya mshahara wa mtumishi waserikaliWakati anaingia shift si mita zinasomwa na wakati anatoka?
Hivyo inajulikana ni lita ngapi ameuza anapewa commission kwa target aliyouza.
Uuzaji wa receipt ndo upi..WMA walitupa mitungu iliyofanyiwa calibration kwa ajili yakuhakiki kipimo wakat wowote so hiko kipimo ndo kitakufanya ujue mafuta yanazid kwa mteja au yanapungua unampunja yaan kipimo pampu inazidisha au inapunguzaWMA hawacheki. Pump ikibana mafuta fine yake ni kubwa sana.
Weka kituo nadhifu, weka zawadi wa wateja ambao ni loyal.
Epuka sana uuzaji wa receipts na hili wanapenda sana madereva wa makampuni na daladala.
Ni ugonjwa hasa kwenye masheli.
All the best.
Kwabahati mbaya hivi kwanza unajua procedure zakumiliki kituo zikoje..sinakituo kwa bahati mbaya I run petrol station since 2000...kaa ukijua biashara imeingiliwa na magiant afro loil.mol,mouth meru,lake oil,Sahara dangote,camel oil,hao wote niwauzaji wajumla nawanavituo vyao nchi nzima so competition iko juu hasa wao huuza Bei chini ya Bei elekeziA successful businessman haji mitandaoni kulialia
It seems either huna kituo cha mafuta au ulikipata bahati mbaya
Hiyo ilikua zamani Mkuu kwa haiko hivo Tena..maaana kila baada ya mita500 utakutana nakituo pia makampuni makubwa yanayaingiza mafuta yanavituo so competition iko juu maana wao wanafaida ktk Bei kwanza siwaondo maimporter unadhani utashindana nao ktk beinew billionea in town..... biashara ya mafuta ukiifanya automatically wew ni billionea, no matter what's the challenges facing u