Picha plzmkuu hawa jamaa pengine hawajui mziki wa XL450 wao wakiona toyo wanajua ni hivi viberiti boxer, na fekon hii mi mashine bei yake yenyewe unanunua vitz mbili na ballance ya mafuta inabaki tatzo watu washakalili wakiskia toyo waambie mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni umbali wa Dar Moshi maybe sio kule..... Kule ni mbali sana.600km
Angalia afya ya mwili na toyo
Tulikubaliana tusimwambie ukweliHuo ni umbali wa Dar Moshi maybe sio kule..... Kule ni mbali sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tulikubaliana tusimwambie ukweli
Itakuwa V8 VXR za wakubwa wa nchiKwa mwendo wa xl ally's haoni ndani.anachotakiwa abebe hata kilo 100 za mchele ili apate balance.mm nilitoka mwanza kwenda nzega nilitumia masaa 2na nusu.gali iliyonipita ilikuwa moja tuu na ilikuwa na speed sijawahi ona maisha yangu yote.maana iliponipita ndani ya sekunde kama 6 barabala iliyonyooka ilikuwa haionekani
Habari wakuu, hapa ninampango wa kutoka Mwanza kwenda DSM na pikipiki aina ya XL kwa ambao walishawai kutoboa route ndefu na toyo tupeane uzoefu na changamoto zake na zipi na ni mambo gani inatakiwa kuzingatia njiani!
Sababu huwa sipendelei usafiri wa public nilishazoea kutumia Gari binafsi ila kwa bahati mbaya Gari langu limepata hitilafu ambayo naona uwezekano wa kuifix na huu usawa wa tozo itanichukua mda kidogo, hebu nipeni uzoefu kwa mliowahi kutoboa na toyo masafa marefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
safi sana mkuu baada ya safari kipi kilikutokea kiafyaMkuu inawezekana mimi nilitoka na BOXER BM150 kutokq dsm had Nzega kwa masaa 14 tu cha msingi piga service ya maana alaf uwe na vitu vya muhim kwa ajili ya dharura na uwe makini sana barabarani ..ukizingatia hayo unatoboa kabisa
we talk about mazoea mkuu hata kwenye daradara tu huu ni mwaka karbia wa tano sijawai kupanda,Gharama ya kutoka Dar na toyo money wise na ki uchovu ni better ku:
- panda luxury bus.
- kama una vi ela kodi gari
Nyingine ni mbwembwe tu! Nimetumia gari sana binafsi kwenda Dar, ila motivation ni matumizi ya gari Dar na Sio adha ya public transport, hakuna adha yeyote.
Mkuu unaongelea honda XL (Japan made) au toyo XL (China made) ??Habari wakuu, hapa ninampango wa kutoka Mwanza kwenda DSM na pikipiki aina ya XL kwa ambao walishawai kutoboa route ndefu na toyo tupeane uzoefu na changamoto zake na zipi na ni mambo gani inatakiwa kuzingatia njiani!
Sababu huwa sipendelei usafiri wa public nilishazoea kutumia Gari binafsi ila kwa bahati mbaya Gari langu limepata hitilafu ambayo naona uwezekano wa kuifix na huu usawa wa tozo itanichukua mda kidogo, hebu nipeni uzoefu kwa mliowahi kutoboa na toyo masafa marefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
we talk about mazoea mkuu hata kwenye daradara tu huu ni mwaka karbia wa tano sijawai kupanda,