Ninampango wa kutoka Mwanza kwenda Dar na Toyo XL Tupeane uzoefu kwa waliowahi kutoboa route ndefu za mikoa na TOYO

Ninampango wa kutoka Mwanza kwenda Dar na Toyo XL Tupeane uzoefu kwa waliowahi kutoboa route ndefu za mikoa na TOYO

Kwa mwendo wa xl ally's haoni ndani.anachotakiwa abebe hata kilo 100 za mchele ili apate balance.mm nilitoka mwanza kwenda nzega nilitumia masaa 2na nusu.gali iliyonipita ilikuwa moja tuu na ilikuwa na speed sijawahi ona maisha yangu yote.maana iliponipita ndani ya sekunde kama 6 barabala iliyonyooka ilikuwa haionekani
Itakuwa V8 VXR za wakubwa wa nchi
 
Mkuu inawezekana mimi nilitoka na BOXER BM150 kutokq dsm had Nzega kwa masaa 14 tu cha msingi piga service ya maana alaf uwe na vitu vya muhim kwa ajili ya dharura na uwe makini sana barabarani ..ukizingatia hayo unatoboa kabisa
 
Habari wakuu, hapa ninampango wa kutoka Mwanza kwenda DSM na pikipiki aina ya XL kwa ambao walishawai kutoboa route ndefu na toyo tupeane uzoefu na changamoto zake na zipi na ni mambo gani inatakiwa kuzingatia njiani!

Sababu huwa sipendelei usafiri wa public nilishazoea kutumia Gari binafsi ila kwa bahati mbaya Gari langu limepata hitilafu ambayo naona uwezekano wa kuifix na huu usawa wa tozo itanichukua mda kidogo, hebu nipeni uzoefu kwa mliowahi kutoboa na toyo masafa marefu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Gharama ya kutoka Dar na toyo money wise na ki uchovu ni better ku:

  • panda luxury bus.
  • kama una vi ela kodi gari

Nyingine ni mbwembwe tu! Nimetumia gari sana binafsi kwenda Dar, ila motivation ni matumizi ya gari Dar na Sio adha ya public transport, hakuna adha yeyote.
 
Mkuu inawezekana mimi nilitoka na BOXER BM150 kutokq dsm had Nzega kwa masaa 14 tu cha msingi piga service ya maana alaf uwe na vitu vya muhim kwa ajili ya dharura na uwe makini sana barabarani ..ukizingatia hayo unatoboa kabisa
safi sana mkuu baada ya safari kipi kilikutokea kiafya
 
Gharama ya kutoka Dar na toyo money wise na ki uchovu ni better ku:

  • panda luxury bus.
  • kama una vi ela kodi gari

Nyingine ni mbwembwe tu! Nimetumia gari sana binafsi kwenda Dar, ila motivation ni matumizi ya gari Dar na Sio adha ya public transport, hakuna adha yeyote.
we talk about mazoea mkuu hata kwenye daradara tu huu ni mwaka karbia wa tano sijawai kupanda,
 
Habari wakuu, hapa ninampango wa kutoka Mwanza kwenda DSM na pikipiki aina ya XL kwa ambao walishawai kutoboa route ndefu na toyo tupeane uzoefu na changamoto zake na zipi na ni mambo gani inatakiwa kuzingatia njiani!

Sababu huwa sipendelei usafiri wa public nilishazoea kutumia Gari binafsi ila kwa bahati mbaya Gari langu limepata hitilafu ambayo naona uwezekano wa kuifix na huu usawa wa tozo itanichukua mda kidogo, hebu nipeni uzoefu kwa mliowahi kutoboa na toyo masafa marefu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unaongelea honda XL (Japan made) au toyo XL (China made) ??
 
Back
Top Bottom