Ninampenda kweli huyu mwanaume

anasema kama sitaki kumpa tusitafutane wala nisiende kwake tena maana ninamtega tega bila sababu.si ndo anataka kuniacha hivo jamani? nataka nikae tufanye mambo yote .tuinjoy pamoja except sex i wish ingewezekana

I understand you cause I've been there, its a worse situation .. you two are in two different pages, still ni wewe tu ndiye uliye na maamuzi wether to hold on your principle and tell him why you belive on it (risk: he may withdraw) or to follow his way, the more you insist on your way the more distant and rejective he will be. All the best
 
huu ni ushauri wa dhati,kuninyima tunda ni kunitesa usishangae cku unadhan ndo nastail kupewa ukakuta nastaajabu kutokufurahia K yko..vyema ukampa akajua how sweet u a nawe ukampima kama mtaenda angle zile pia mana mzizi wa strong relation Pamoja na Maombi na pale mfikishane,am dne
 
Mi nadhani wewe ndo hujiamini! Hebu fungua moyo wako umuone mwenzio anakuamini hivyo nawe utakua umejiamini.
Kusex ni lazima kwa kua ni kitu kimeumbwa ndani ya kiumbe hai.
Kinacho kutesa ni tukio lililokutokea awali kwa mpenzi wako wa awali!
Kwakua hakuna msiba usokua na mwenzie naomba niwe mpenzi wako kwani hata mimi nilipata tatiza la mapenzi hadi kukaa muda mrefu bila kua na mahusiano ya kimapenzi!
Kwakua ni kitu mungu ametuumba nacho,sasa hivi najihisi nipate mwenzangu! Naomba unikubali il tuliwazane kwani yalishatusibu hivyo tutapendana kwa dhati! Ondoa hofu jihesabu umeshapata mwenzio,huyo ambae humuamini muache kwani tayari umeshaingiza hofu kwake hamtaishi kwa amani
Nipe nafasi ufarijike!!
 
Mpe uchi wala usijali.....you have nothing to lose....kama ni wa kukuoa atazidi kukupenda.....na anaweza hata ku propose fasta...we mpe uchi...tena wooote....be very genuine...jiachie mama.....wanaume siku hizi wanapenda kupima mashine....mtu usije ukachukua galasha.....si unajua wanawake wa tz siku hizi!!!wengine wanajifanya hata mabikira wakati mapakacha.....we toa tu uchi mama....by the way, it will be your part to know him too!!.....usije nawe ukachukua galasha!!!mapenzi ya dhati hayana kificho mama.....bania bania mwishoni anasepa....wanawake wengi siku hizi bana..LOL..
 
Smile mambo ya mapenzi hayatabiriki. Kama umempenda na unaona ana vigezo vile unavitaka we jitose tu. Utaogopa kuumizwa hadi lini? Usifikirie mabaya ya mwenzio wala usifikirie tena namna ulitendwa. Kila la heri.
 
Na mimi kuna ka dada kananisumbua nimegundua eti kanataka ndoa, hakuna mwanaume anayeoa bila kuchovya. Nimekaambia sitaki kukaona. Isije ikawa ni weye
 
maamuzi magumu na mazito ni muhimu sana katika mapambo ya kutimiza ndoto, katika kuyafanya risks are neglected... ucha kumbania bwana mdogo, jaribu bahati yako!
 
sex is being intimacy with your lover....huwezi avois it kisa unaogopa kutendwa,tts not a good sababu.in love ukiogopa ul never experience the true meaning and feeling of love and if things dont workout u just pick urself up,dust urself and move on.....tts life
 
Bidhaa zingine shurti uonje ujue ladha! We zuia bidhaa yako isionjwe kama utapata mteja! Mpe mwenzio aonje,akikubwaga basi ujue ladha haijakidhi!!
 
nyie wanawake mna akiri ya kumsoma mwanaume haraka sana,kamwe usikubali muunganishe vikojoleo vyetu kabla ya ndoa, huolewi tena,kataa asiweke kipande chake cha muhogo kwako mpaka atoe posa ukikubali shauri lako mie yangu macho!
 

Kama kweli ana nia na wewe, basi mwambie akuoe awaone wazazi wako kupitia taratibu za kabila lenu? Usimpe ngono, kama ana mapenzi mema na wewe afuate mkondo wa matumaini.
 
huyo jamaa nae ana moyo miezi saba hola!? ngekua mimi nshasepa!
 
Pole mama,uoga uliokuwa nao hata mimi ninao sa ivi,jitahid kumuamin na jiamin sio wote wanatabia moja japokuwa huwa hawaeleweki sana
 
kiukweli angaza tulienda siku nyingi.naogopa akija kuniacha tena si nitakufa mimi jamani?

Jiamini bibie, huwezi kufa wala nini, akikuacha elewa tu kuwa alitaka kukutumia hakukupenda kama huyo wa kwanza.Wala usijilaumu kwa kuachwa na mtu!! Hivi unajua kwa wastani mwanamke mpaka aoelewe huwa anapitia wapenzi wapitanjia wangapi? Hawapungui sita kwa taarifa yako!!! Hii ni kwa risechi za mtaani!!! Kwa hiyo usihofu, just smile furahia maisha, jilinde, mlinde!!
 
1. Smile Hauwezi pata kazi kama haufanyi interview.
2. We mpe hicho kipochi manyoya akila kona basi jichunguze unashida gani ili urebishe
 
Usikate tamaa mm nashari usimpe mzigo wote atakutosa na huyo tafuta ndugu zake wajue mna uhusiano
 
unajua smile ,kila mtu ana disire ya kupenda na kupendwa ktk maisha asikudanganye mtu ikiwa uko normal , lazima utapenda bcz unahitaji mtu ktk maisha wa kupeana mawazo n nature ya humanbeing ,ila hiyo kuachwa wanawake wengi tuna experience nayo . ,mazali ume dampiwa na wa kwanza na umeona pain yake , usikubali kufanya sex nae bcz hiyo ndio sumu ya wanaume wengi wa kiafrica , sex inapunguza mapenzi kwa kweli dear ikiwa anakupenda kwa kuwa mke na mume dont do sex for the moment.. si mjuzi wa haya mambo ila kusaidiana ipo inaweza ikasaidi kwa kweli goodluck
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…