hata mimi sielewi rafiki am so confused hereHivi kutosex na mtu ndo sababu akuache?? Aaah labda kama hana nia na wewe! Giving you two options, either SEX or you BREAK UP........hicho ni kiburi cha uzima and I can't buy it anymore! Kwanini angandie kwenye sex na sio mipango ya ndoa?? Aren't they important to you as a focused couple??
hata wewe rafiki yangu mpenzi unanitisha?
Hehehe! Inalipa ukaachwa? Jichunguze vizuri.
hata mimi sielewi rafiki am so confused here
Hahaha. Janga la kidunia lol. Namchemsha smile swahiba manake namshangaa anaumiza kichwa kuwaza yasokuwa na majibu....Kuachwa hilo ni janga la kidunia swaiba!
Ndio mana nimemwambia ajiachie... Maana yake ni kwamba ajisikilize mwenyewe zaidi, sio kwakuwa memba wamemshauri... Naimani haya yote aloshauriwa hapa atachanganya na zake ili apate jibu la kutoka uvunguni mwa moyo wake...Na kama anafanya.....basi iwe kwa upendo tu na sio kwa sababu ya mambo aloambiwa! Habari yako swaiba??
kweli nampenda sana sana i wish sijui nimfanyie nini anielewe
mmlaumu MUNGU aliyekupa damu baridiNaitaji ushauri wa dhati kutoka kwenu wadau
Nilikuwa na mpenzi niliekuwa nampenda sana sana lakini mwisho wa siku aliniacha na kufunga ndoa narafiki yangu kipenzi.
From there sijawai kuwa kwenye relationship seriously maana sijawai kumpenda mwanaume yeyote tena since then
Miaka imeenda (shukranikwa jamii forums na wadai wake ) nimeweza kusahau ile hali kidogo na kuanza maisha upya.
Nikaamua kuingia kwenye mahusiano ,sijui tatizo ni mimi Kuna mwanaume kweli ninampenda lakini tunashindwakwenda mbele zaidi maana kiukweli simuamini .sijawahi kumuhisi kitu basi tu sijiamini na mahusiano nae
Hatujawai kusex nahisi anaweza tukisex anaweza kuniacha tena jamani sijui nifanyeje nahisikumpoteza
Kwani jamani kusex ni lazima jamani? I wish angenielewa imani yangu ila nampenda kweli kweli
Mie huwa ananifanya namkumbuka Nazjaz sana...Smile ni mwingi sana wa habari! Mara hiki mara kile. Mara hivi mara vile. Ili mradi tu.....
Mie huwa ananifanya namkumbuka Nazjaz sana...
Miandiko na mikasa vinafanana mno.
Haswaaaaaa!...lol.Na yule Golden Mpoleeee na Mpoleeee nao wamepotea kweli.
Hahaha. Janga la kidunia lol. Namchemsha smile swahiba manake namshangaa anaumiza kichwa kuwaza yasokuwa na majibu....
Na yule Golden Mpoleeee na Mpoleeee nao wamepotea kweli.