Ninampenda Miss Natafuta

Tunasemea labda id ni mgeni ila we ni mzoefu tu humu rafiki.

Time will time,wanaungaga lakin tutaona mengi
 
wewe mnamjua Mungu kweli nyie?
miss natafuta..

unajua nakumbuka stori moja kijijini bibi alikuwa akitupa mayai ya bata kama saba hivi kisha akituambia moja limeoza kila mtu atakalochukua tunampasulia mdomoni....

sasa ikawa kila mmoja wetu anakataa kuchukua kwa kuogopa lile moja ambalo limeoza asije pasuliwa mdomoni...

moja mbaya ina athari kuliko kumi nzuri...
 
wakuu kuna mtu kaedit uzi huu....

kaona anajua sana kaandika nampenda miss natafuta..wakati mimi niliandika MISS NATAFUTA lakini huyo kaongeza neno nampenda...angeacha hivyo hivyo tu mimi nina maana yangu kutoliweka hilo neno
Mtu nani huyo
 
Tunasemea labda id ni mgeni ila we ni mzoefu tu humu rafiki.

Time will time,wanaungaga lakin tutaona mengi
bosi kama unataka uamini hivyo sawa siwezi kukulaumu..

lakini labda nitoe mfano mimi sio mwenyeji wa dareslam lakini huwa nafika nakaa japo siku mbili naondoka lakini sio mwenyeji kabisa japo huwa nafika sana...

lakini ikiwa unaamini hivyo oky hamna neno....kama mimi ni mwenyeji ok acha tuamini hivyo...
 
Aisee mistar tu suruali inanyanyuka?kweli miss natafuta kiboko
 
Aisee mistar tu suruali inanyanyuka?kweli miss natafuta kiboko
mkuu hapana...
hizo ni hisia zangu kwake na wala yeye haandiki kwa lengo la kuniinusha mimi na sidhani kama alikuwa anafahamu..

kwa hvyo hyo ni tunu katunukiwa kutoka kwa mungu
 
Sasa kama ni watoto wa shetani wewe ulipatikanaje?acha kutusi watu miss natafuta.
 
Sasa kama ni watoto wa shetani wewe ulipatikanaje?acha kutusi watu miss natafuta.
mkuu nakuomba umsamehe huwenda kuna mpumbavu aliumiza dhahabu yangu ikapelekea kutamka maneno hayo....
 
nyie ni mamaku tu mkuu kwendeni huko
hata katika kutusi unastaha namna hii...
lakini angekuwa mtu hajielewi nadhani angetoa tusi tusi la uchi bila kificho......

sasa naanzaje kujizuia kwa mtu wa namna hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…