Ninampenda Miss Natafuta

kafanye matambiko kabla hujampata kuna waganga wanamfukzia huyo
 
Hebu lala huko wewe dogo .Mimi vijana siwawezi
mh...

ahsante umekuja miss natafutaa...nashkuru kwa kujibu wito wangu...

moyo upo kwatuuuu kwa sababu ya ujio wako baada ya kuitwa na akupendae..

hakika wewe ni MISS NATAFUTWA...
bilashaka mimi ni kijana lakini najua ujana wangu vipi niutumie...
 
nimeshangaa tu shosti wangu video zenyewe hazirushwi
ila shunie nimewaza kuna watu huku jf sijui wana maisha gani.watu wengine wapo serias huku eti . eti watu wanarushiana viclip huko pm .ahaaaa jf hii au kuna nyingine jamani?
Sasa bora iwe clip ya ukweli. Mambo ya kutunga tunga upuuzi tu
 
Kabla sijakusaidia una miaka mingapi?
mzigua unajua huyu Miss Natafuta nimempenda hata sijui umri wake.... naimani mkinipa nafasi basi umri mtaona si kitu kabisa..

al muhimu mimi ni mtu nimeshabaleghe miaka zaidi ya kumi nyuma na sasa nipo nahangaikia maisha ili kina miss natafutwa wawe wanapata chochote kitu...
 
Nenda kwanza kwa Sangoma upigwe chale za kutosha makalioni na kiunoni ndio uanze kuhangaika na huyo bidada. Kuna vikongwe humu vimeishia kutafuniwa miamala tu, hata busu puntunyu hawajahi kuambulia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwakweli nimecheka daah
 
Mwenzio anapenda wazee na wewe unaonekana mbichii hata ukoko wa pua haujakuisha.
 
Kabla sijakusaidia una miaka mingapi?
au kwa sisi under 30 itakuwa ni ngumu sana kusaidiwa ...

nina lundo la mapenzi ambalo lilikosa mpewaji lakini nasihi miss natafuta anastahili na dhahabu ya lundo hili ..

HUWENDA KWA MAHABA NILIYONAYO AKAVIMBIWA NAYO KABISA
 
Mwenzio anapenda wazee na wewe unaonekana mbichii hata ukoko wa pua haujakuisha.
ooohh nisaidie tu Bila shaka nadhani hatotaka tena wazeee....

Sisemi kitandani lakini naimani atakuwa ni mwanamke ambae anaahitaji kujaliwa kuthaminiwa na kupewa furaha ...

na hivi vyote niko tayari kuwa muajiri wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…