Vipi kutompenda Baba yake na Mganga wake?
Kuna jibaba flani liliwahi kusema humu JF kuwa linampenda jinsi alivyoonyesha masaburi yake kwenye show ya fiesta.
Dah! Nimeamini huyu jamaa anapendwa sana.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Hivi lile Domo la Diamond haliwezi kufanjiwa surgery? maana jamaa sidhani kama anakunja chapati.nimefurah vile raia wamemuunga mkono mtoa mada
nilitegemea kuponda kma jadi yao
Hivi lile Domo la Diamond haliwezi kufanjiwa surgery? maana jamaa sidhani kama anakunja chapati.
Mimi nampongeza Producer wake kwa kumuandalia beat nzuri lakini anachoimba hata sikielewi.
Kuna beat ya nyimbo yake moja nimesahau jina hata analoimba halijulikani zaidi ya kusikia tu, mama Diamond mama, Mamama sepetu mama, mama kidoti mama. hongera zake producer wa Diamond nazipenda beat zako.
Kitu ambacho kinanifanya nimpende Diamond ni jinsi anavyompenda,mjali na kumuheshimu mama yake.
Mimi kama mwanamke natamani siku nikiwa mama mwanangu anithamini kama ambavyo Dimond anamdhamini mama yake.Nilipenda jinsi anavyokwenda kuchukua baraka kwa mama yake kabla ya kwenda kwenye show zake.
Honestly mimi siamini kama Diamond ni mshirikina,kinachompandisha Diamond ni baraka za mama yake.Kama diamond angekua anafanya vitu vya kumsononesha mama yake na yeye angevuma kidogo tu nakuporomoka kama wenzio.
Pia ukweli Diamond ana sauti nzuri na ni mbunifu.
Kitu anachoniudhi Diamond ni vile alivyoonesha ule mboxer mweupe mbali ya hapo tukimsuport anaweza kufika mbali sana ktk ramani ya muziki wa kimataifa.
Kati ya nyimbo zake ninazozipenda ni Nitarejea.Mashairi ya ule wimbo ni mazito ukiyatafakari kwa undani yanatuhusu sana watanzania.
aaaaah upo vizuri dada ni kawaida ya mabinti kumpenda diamond
nimefurah vile raia wamemuunga mkono mtoa mada
nilitegemea kuponda kma jadi yao
Nahisi naww ndugu utampatia kisoda akikuomba maana....π
mi mwenyewe nashangaa kwann mat*ko yako hayafanyiwi surgery!Hivi lile Domo la Diamond haliwezi kufanjiwa surgery? maana jamaa sidhani kama anakunja chapati.
Mimi nampongeza Producer wake kwa kumuandalia beat nzuri lakini anachoimba hata sikielewi.
Kuna beat ya nyimbo yake moja nimesahau jina hata analoimba halijulikani zaidi ya kusikia tu, mama Diamond mama, Mamama sepetu mama, mama kidoti mama. hongera zake producer wa Diamond nazipenda beat zako.
Asiyempenda Nasibu Domo ni mchawi huyo, hafai kuishi katika jamii ya waliostaarabika.
Diamond is good to listen and watch compared to other stars in his carrier!
Salute platinum!