- Thread starter
- #21
Vipi kutompenda Baba yake na Mganga wake?
Kama Diamond hakumuona huyo baba wakati yuko mdogo,
wakati anahitaji ada ya shule.wakati anahitaji pesa za matibabu ,
labda aliyemuona akimuhangaika ni mama yake tu unafikiri huo upendo kwa huyo baba utatoka wapi.
Huyo mganga kama ni mganga kweli basi akaushe koo la Diamond sauti isitoke na hataweza kwa jina la Yesu.