Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,887
- 7,673
hiv+,wanasema ni kama malaria siku hizi,kwahiyo sio issue kama mtu akwambie yuko na cancer.Very touchin and sad story mwanyazi mungu akutangulie katika kila jambo
Salam wana JF. Mimi ni mwanamke mwenye umri miaka 48 ambaye naishi na VVU natafuta mwanaume wa kuishi nae au kufunga ndoa, kama yupo tayari. Awe na umri kuanzia miaka 50-55, kwa ufupi nilikuwa na mume ambae nilimuamini na kumpenda sana yeye ni mfanyabiashara nje na ndani ya nchi baada ya miaka 4 alianza mabadiliko ya kutowasiliana tena na mimi. Mwaka uliofuta nilipata mchumba na tulihitaji kufunga ndoa nikaona niende ANGAZA kuangalia afya yangu lakini haikuwa siku nzuri kwangu kwani nilijikuta nimeshapata maambukizo sikuwa na jinsi. Nilimuomba Mungu katika sala zangu anisaidie na kunitia nguvu katika maisha yangu ya upweke. Kwa vile nimezoea kuwa na mwenzangu kuishi peke yangu ni vigumu kwangu, nami naomba kujitokeza mimi nipo katika ukweli (serious) na tutalindana.
Salam wana JF. Mimi ni mwanamke mwenye umri miaka 48 ambaye naishi na VVU natafuta mwanaume wa kuishi nae au kufunga ndoa, kama yupo tayari. Awe na umri kuanzia miaka 50-55, kwa ufupi nilikuwa na mume ambae nilimuamini na kumpenda sana yeye ni mfanyabiashara nje na ndani ya nchi baada ya miaka 4 alianza mabadiliko ya kutowasiliana tena na mimi. Mwaka uliofuta nilipata mchumba na tulihitaji kufunga ndoa nikaona niende ANGAZA kuangalia afya yangu lakini haikuwa siku nzuri kwangu kwani nilijikuta nimeshapata maambukizo sikuwa na jinsi. Nilimuomba Mungu katika sala zangu anisaidie na kunitia nguvu katika maisha yangu ya upweke. Kwa vile nimezoea kuwa na mwenzangu kuishi peke yangu ni vigumu kwangu, nami naomba kujitokeza mimi nipo katika ukweli (serious) na tutalindana.
Sasa miaka 48,tena mwanamke bado tu unahitaji kuolewa,mbona kama miaka emeenda sana?
Jamani mdau anachohitaji ni mpenzi,hayo mambo ya kunanii au kuto kunanii tumuachie mwenyewe!ooh,kumbe ile hamu ya kunanii,ok.
Kwani yy hajisikii hamu??? angekuwa 80 hapo sawa, huyu bado kabisa damu inachemka
Mungu akutie nguvu mwaya tupo wote kwenye maombi.
Inamaana hamna mwenye hizo sifa humu? Mbona hajitokezi hata mmoja? Mimi nimekosa kigezo cha umri.
Ushauri: Tuwe na utaratibu wa kucheki afya zetu kama Sweet Juma.
Chakushangaza kiko wapi hapo mkuu!
Sasa miaka 48,tena mwanamke bado tu unahitaji kuolewa,mbona kama miaka emeenda sana?
Salam wana JF. Mimi ni mwanamke mwenye umri miaka 48 ambaye naishi na VVU natafuta mwanaume wa kuishi nae au kufunga ndoa, kama yupo tayari. Awe na umri kuanzia miaka 50-55, kwa ufupi nilikuwa na mume ambae nilimuamini na kumpenda sana yeye ni mfanyabiashara nje na ndani ya nchi baada ya miaka 4 alianza mabadiliko ya kutowasiliana tena na mimi. Mwaka uliofuta nilipata mchumba na tulihitaji kufunga ndoa nikaona niende ANGAZA kuangalia afya yangu lakini haikuwa siku nzuri kwangu kwani nilijikuta nimeshapata maambukizo sikuwa na jinsi. Nilimuomba Mungu katika sala zangu anisaidie na kunitia nguvu katika maisha yangu ya upweke. Kwa vile nimezoea kuwa na mwenzangu kuishi peke yangu ni vigumu kwangu, nami naomba kujitokeza mimi nipo katika ukweli (serious) na tutalindana.[/QUOTEyani nilitegemea kuwa unatafuta mtu wa kukupa mawazo labda ya biashara kumbe ni unatafuta mwanamume huuu ni ushauri tu ukinuna shauri yako
- wewe ni saizi sawa unauwezo wa kuishi kama wanadamu wengine lakini achana kabisa maswala ya wanaume unatakiwa kutafuta hela ya hali na juu ili mungu akikuchukua mbele ya haki watoto uwaache na hali nzuri zaidi
- usiwaze wanaume na ukimpata tegemea kuwa na mawazo kwa sababu wanaume wa siku hizi ni pasua kichwa tu kwa hiyo unaweza kupunguza siku zako
- umri ulionao huo nikwamba hauna haja ya kuwaza mambo hayo labda wewe ni malaya kabisa umri huo mwanamume wa nini hebu tuambie ukimpata wa nini na kama tendo la ndoa wewe ni noma umri wa 48
Turudi kwenya jukwaa letu kule mkuu... Huku tuwaachie wenyewe... Sisi tukajenge nchi kule
55 ana uzee gani? Kikwete ana >65 na bado anajiita kijanaulikuwa na mume, alivyokuwa haeleweki ukapata mchumba ambaye mngefunga naye ndoa, sasa ndoa ya ngapi? kwa ushauri umri huo usitafute stress; kwa tz mwanaume wa miaka 55 ni mzee huoni kwamba utakuwa umejiongezea majukumu?