Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanafanya kazi gani Yale mawe?Ninanunua Mawe ya kwenye Nyongo ya ngombe. Kwa bei ya 35,000 mpaka 38,000 kwa gram. Yakiwa yamekauka. Kama unayo au kuna mtu anayo njoo pm.
ntakitafutaNinanunua Mawe ya kwenye Nyongo ya ngombe. Kwa bei ya 35,000 mpaka 38,000 kwa gram. Yakiwa yamekauka. Kama unayo au kuna mtu anayo njoo pm.
Sasa mkuu Kama ni malaini Sana, unawezaje kulikausha!? Na linatokaje kwenye bladder au kongosho wakati ndani ya vitu hivyo Kuna majimaji?Haya ni malaini sana. Pia ukiweka ndani ya maji yanayayuka haraka na ubadili rangi ya maji yote
Swali zuri sana. Ulain wake co kama ujiuji bali lipo kama yale mawe anayopukutika. Hii jiwe linatoka baada ya kupasua Nyongo wakati ngombe kachinjwaSasa mkuu Kama ni malaini Sana, unawezaje kulikausha!? Na linatokaje kwenye bladder au kongosho wakati ndani ya vitu hivyo Kuna majimaji?
Nimeagiza trekta nahitaji kijana wa kusimamia eneo la kazi dodoma mshahara laki 5ntakitafuta
Swalitamu sana limekaa kitaalamu nitasaidia kujibu kikemia.Mawe ya nyongo ni alkaline in nature na kemikali za nyongo ni alkaline in nature sio rahisi ziyeyushe mwenzao maana kitu ni kile kile.Maji yanayeyusha haya mawe vile ni tofauti na maji ni universal solvent kwa vitu karibu vyote dunianiSasa mkuu Kama ni malaini Sana, unawezaje kulikausha!? Na linatokaje kwenye bladder au kongosho wakati ndani ya vitu hivyo Kuna majimaji?
Halafu tambua mawe kwenye nyongo ni tatizo la kiafya na moja ya visababishi vya mawe hayo ni minyoo ya kwenye maini iitwayo "liverflukes".Kwa hiyo unatamani ng'ombe waugue ili utengeneze pesa?Ninanunua Mawe ya kwenye Nyongo ya ngombe. Kwa bei ya 35,000 mpaka 38,000 kwa gram. Yakiwa yamekauka. Kama unayo au kuna mtu anayo njoo pm.
Shukran Sana mwalimu! Salute [emoji3]Swalitamu sana limekaa kitaalamu nitasaidia kujibu kikemia.Mawe ya nyongo ni alkaline in nature na kemikali za nyongo ni alkaline in nature sio rahisi ziyeyushe mwenzao maana kitu ni kile kile.Maji yanayeyusha haya mawe vile ni tofauti na maji ni universal solvent kwa vitu karibu vyote duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe ajira mkuuNimeagiza trekta nahitaji kijana wa kusimamia eneo la kazi dodoma mshahara laki 5
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaemuomba ajira yeye Yuko anaomba ajira hata ya kuosha vyombo huko mkuu! [emoji23][emoji23]
Mbuzi na kondoo au mnyama mwingine vp? mfano wanyama pori swala n.kNinanunua Mawe ya kwenye Nyongo ya ngombe. Kwa bei ya 35,000 mpaka 38,000 kwa gram. Yakiwa yamekauka. Kama unayo au kuna mtu anayo njoo pm.
Nanunua yoteMbuzi na kondoo au mnyama mwingine vp? mfano wanyama pori swala n.k
Sent using Jamii Forums mobile app