CHRISTURKER
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 267
- 55
Bado unanunua haya mawe mkuu?Ninanunua Mawe ya kwenye Nyongo ya ngombe. Kwa bei ya 35,000 mpaka 38,000 kwa gram. Yakiwa yamekauka. Kama unayo au kuna mtu anayo njoo pm.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado unanunua haya mawe mkuu?Ninanunua Mawe ya kwenye Nyongo ya ngombe. Kwa bei ya 35,000 mpaka 38,000 kwa gram. Yakiwa yamekauka. Kama unayo au kuna mtu anayo njoo pm.
Nanua gallstones zinakua kwenye nyongo ya ng’ombe gram moja 30000. Robo kilo million 6. Nusu kilo million 12 kilo moja million 24
Mkuu utafanya watu tuanze kutafuta hii kitu kama mali ya mjerumani inavyotafutwa ........😹Nanua gallstones zinakua kwenye nyongo ya ng’ombe gram moja 30000. Robo kilo million 6. Nusu kilo million 12 kilo moja million 24
Dah haya ngoja nianze kuzitafuta nipige hela.Hii Biashara ipo mkuu. Ww tafuta 2