Twamo
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 2,884
- 5,016
Asante mkuu! Labda Mayanga hana bahati ya kupendwa tu!Asante sana Twamo post #15 hapo juu. Wewe ndio umejaribu kutupa picha nzuri kiasi kuhusu Salum Mayanga.
Lakini kwa kuongezea katika mengi uliyosema, huyu ndio kocha mwenye 'mafanikio' zaidi katika miaka ya karibuni kwa makocha wa Taifa Stars. Amewafunika vibaya watangulizi wake Mart Nooij na Boniface Mkwasa ambao wana historia za ajabu mno
1. Mart Nooij aliweka historia kama kocha aliyeiongoza Taifa Stars kufungwa mechi zote za COSAFA na kuondoka bila kufunga hata goli la offside. Ni maarufu kwa kupigwa 3-0 kila mechi
2. Mkwasa alifedhehesha Taifa kwa kupigwa 7-0 dhidi ya Algeria kipigo ambacho hakijawahi kuikumba Tanzania kwa zaidi ya miaka 50. Chini yake Stars ilishindwa kufuzu AFCON na WC.
Sent using Jamii Forums mobile app