Marcy
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,430
- 5,910
Ninaomba mnifahamishe utaratibu wa unyonyeshaji mtoto kwa mfanyakaz
Inafahamika mfanya kaz amepewa masaa mawili ya kunyonyesha. Je masaa hayo huanza baada ya muda gan wa kaz?? Au unajipangia wew mwenyew?
Pia mfanyakaz amepewa miez kadhaa ya kunyonyesha . je miez hiyo ni mingap toka kumaliza likizo ya uzazi ni 6 au 3??
Mwisho ningependa kujuzwa lile tamko la waziri wa afya kuhusu utaratib wa kunyonyesha kwa mfanyakaz kuingia kazin saa3:30 kutoka saa7:30 limeshaanza kufanya kaz na kuna waraka wowote umetoka kuhusiana na tamko hilo?
Karibun
Inafahamika mfanya kaz amepewa masaa mawili ya kunyonyesha. Je masaa hayo huanza baada ya muda gan wa kaz?? Au unajipangia wew mwenyew?
Pia mfanyakaz amepewa miez kadhaa ya kunyonyesha . je miez hiyo ni mingap toka kumaliza likizo ya uzazi ni 6 au 3??
Mwisho ningependa kujuzwa lile tamko la waziri wa afya kuhusu utaratib wa kunyonyesha kwa mfanyakaz kuingia kazin saa3:30 kutoka saa7:30 limeshaanza kufanya kaz na kuna waraka wowote umetoka kuhusiana na tamko hilo?
Karibun