Ninaomba mchanganuo wa biashara rahisi... Wanangu hawajalipiwa karo na maisha hayaendi. Nina 500,000 tu ndugu zangu, nifanye nini?

Ninaomba mchanganuo wa biashara rahisi... Wanangu hawajalipiwa karo na maisha hayaendi. Nina 500,000 tu ndugu zangu, nifanye nini?

NAKUPA BIASHARA NDUGU CHANGAMKA NA USIACHE

Hii biashara inadharaulika lakini UTANIKUMBUKA (kama hautoidharau)

MAHITAJI : FRIJI/FREEZER (najua hukosi huko nyumbani)

:Kama huna Friji/friza Nunua Madell ya kuwekea MABARAFU

BIASHARA YA KUUZA MAJI YA KANDORO

Nunua maji ya DAWASCO ndoo kubwa sh.200...Tafuta vijana wawili au kama uko peke ako ingia kwenye BAR/PUB/HOTEL omba makopo ya maji watu waliokunywa wakayatupa MFANYA USAFI wa mahali husika UTAMKUTA ANAYO KAYAKUSANYA ANAPOPAJUA YEYE mpe sh.2000 atakupa Roba mfuko wa kg.100 ule wa MCHELE umejaa makopo kibao.


Nenda nyumbani na Makopo yako yaoshe vizuri kbs (usitumie sabuni) kisha chukua makopo ya LITRE 1 jaza maji yako masafi yale ya dawasco...ukimaliza nenda kayaweke kwenye Friza yagande kbsa Asubuhi pakikucha Chukua ndoo TUPU weka maji yako yapange vizuri (itapendeza ukipata vijana hata wawili) kisha nendeni kauzeni Na jua hili mtauza sana Mtauza sh.200 PER BOTTLE so mkimaliza mnarudi mnachukua mzigo mwingine wa Maji mnaenda Front.

Nakuhakikishia kwa SIKU ukiingiza CHINI ya 50,000 rudi hapa NITUKANIE WAZAZI WANGU WOTE,nakubali lawama zozote kama Huu ushauri ninaokupa hautokupa FAIDA...Hata kama ukiwa peke ako huna Vijana Ukikosa 30,000 kwa siku NAKURUHUSU uje unitukane HADHARANI.

LAKI 5 yako kama huna FRIZA nenda kanunue Friza la MTUMBA 300,000 INABAKI lAKI MBILI sikufundishi jinsi ya kuitumia hiyo...

NOTE: Shida yako imekuja kipindi muafaka JUA LINAMULIKA IPASAVYO litumie Hili JUA KUVUKA NDUGU YANGU..hamna asiekunywa MAJI tena wakati unauza Nunua Epron nyeupeeee na kofia Vaaa. Uza maji ktk hali ya USAFI hakika utavuka .

biashara ya mtaji wako HAMNA NYINGINE ZAIDI YA VINYWAJI kama unataka kutoka haraka MAANA UNAMAJUKUMU UMESEMA ILA KAMA HAUNA MAJUKUMU NA HUITAJI HELA HARAKA...FANYA ZINGINE NAZO ZINA PESA.

ONYO: USHAROBARO/U KAKA DUU weka pembeni PAMBANA YA ELA YOTE.
Nzuri
 
Umemsaidia pakubwa na nikweli atafaidika ila tatzo kachelewa kutaka ushauri mana hiyo biashara ni zaid kwa kipindi hichi cha juakali na joto lakin zimebaki siku chache kuanza kwa kipindi cha mvua na biashara hiyo italuz.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza fungua genge la vegetables and fruits.
 
NAKUPA BIASHARA NDUGU CHANGAMKA NA USIACHE

Hii biashara inadharaulika lakini UTANIKUMBUKA (kama hautoidharau)

MAHITAJI : FRIJI/FREEZER (najua hukosi huko nyumbani)

:Kama huna Friji/friza Nunua Madell ya kuwekea MABARAFU

BIASHARA YA KUUZA MAJI YA KANDORO

Nunua maji ya DAWASCO ndoo kubwa sh.200...Tafuta vijana wawili au kama uko peke ako ingia kwenye BAR/PUB/HOTEL omba makopo ya maji watu waliokunywa wakayatupa MFANYA USAFI wa mahali husika UTAMKUTA ANAYO KAYAKUSANYA ANAPOPAJUA YEYE mpe sh.2000 atakupa Roba mfuko wa kg.100 ule wa MCHELE umejaa makopo kibao.

Nenda nyumbani na Makopo yako yaoshe vizuri kbs (usitumie sabuni) kisha chukua makopo ya LITRE 1 jaza maji yako masafi yale ya dawasco...ukimaliza nenda kayaweke kwenye Friza yagande kbsa Asubuhi pakikucha Chukua ndoo TUPU weka maji yako yapange vizuri (itapendeza ukipata vijana hata wawili) kisha nendeni kauzeni Na jua hili mtauza sana Mtauza sh.200 PER BOTTLE so mkimaliza mnarudi mnachukua mzigo mwingine wa Maji mnaenda Front.

Nakuhakikishia kwa SIKU ukiingiza CHINI ya 50,000 rudi hapa NITUKANIE WAZAZI WANGU WOTE,nakubali lawama zozote kama Huu ushauri ninaokupa hautokupa FAIDA...Hata kama ukiwa peke ako huna Vijana Ukikosa 30,000 kwa siku NAKURUHUSU uje unitukane HADHARANI.

LAKI 5 yako kama huna FRIZA nenda kanunue Friza la MTUMBA 300,000 INABAKI lAKI MBILI sikufundishi jinsi ya kuitumia hiyo...

NOTE: Shida yako imekuja kipindi muafaka JUA LINAMULIKA IPASAVYO litumie Hili JUA KUVUKA NDUGU YANGU..hamna asiekunywa MAJI tena wakati unauza Nunua Epron nyeupeeee na kofia Vaaa. Uza maji ktk hali ya USAFI hakika utavuka .

biashara ya mtaji wako HAMNA NYINGINE ZAIDI YA VINYWAJI kama unataka kutoka haraka MAANA UNAMAJUKUMU UMESEMA ILA KAMA HAUNA MAJUKUMU NA HUITAJI HELA HARAKA...FANYA ZINGINE NAZO ZINA PESA.

ONYO: USHAROBARO/U KAKA DUU weka pembeni PAMBANA YA ELA YOTE.
Ngumu kumeza ila tamu.adui wa hii kitu ni hadhi...namshauri pia atengeneze mabarafu ya 2000 awauzie wauza samaki na kuku
 
kULE biashara inatoka sana ndio mana wanauza sh.100 Mtu anaepiga biashara ile Gerezani Anauhakika wakulaza LAKI kibindoni Kila siku...Maji hayachukui Round yameisha..Sema ukiwa unafanya ile biashara kwa kule gerezani basi inakubidi uwe na Friza la maana NA SIO MOJA UWE NAYO SI CHINI YA matatu
Pia unawezakusambazia wauza juice ya miwa
 
Ngumu kumeza ila tamu.adui wa hii kitu ni hadhi...namshauri pia atengeneze mabarafu ya 2000 awauzie wauza samaki na kuku
Honestly biashara ya vinywaji naielewa sana..tusiwachukulie poa wauza maji najuice hasa pale makumbusho mmbezi mbagala k koo na tegeta nyuki
 
Acha kuona watu ni wajinga mkuu! Karanga debe ziwe Tsh 20,000?,
Sukari kg 5 itakuwaje Tsh 2,500?
Kahawa pkt zitakuwaje Tsh 1,000 Badala ya Tsh 1,500 or 2,000?

Elewa pia kuna changamoto za biashara.

Maelezo yako ni ya mtu aliyefunga hesabu kabla ya kazi wakati kuna hesabu baada ya kazi.
Hivi hizo @ alizoweka kwa kila item umeziona?!
 
Back
Top Bottom