ydon JF-Expert Member Joined Apr 17, 2014 Posts 253 Reaction score 194 Feb 19, 2015 #1 Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 22 ninasumbuliwa na tatizo la masikio yanauma kwa ndani na wakati mwingine yanatoa uchafu japo kwa kiasi kidogo(sio usaha). Ninaomba msaada, dawa gani nzuri kwa tatizo langu hili. Natanguliza shukurani!
Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 22 ninasumbuliwa na tatizo la masikio yanauma kwa ndani na wakati mwingine yanatoa uchafu japo kwa kiasi kidogo(sio usaha). Ninaomba msaada, dawa gani nzuri kwa tatizo langu hili. Natanguliza shukurani!
BADILI TABIA JF-Expert Member Joined Jun 13, 2011 Posts 32,767 Reaction score 23,198 Feb 19, 2015 #2 Nenda hospitali Muone ntaalam wa ENT
ydon JF-Expert Member Joined Apr 17, 2014 Posts 253 Reaction score 194 Feb 19, 2015 Thread starter #3 ahsante sana mkuu