Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 22 ninasumbuliwa na tatizo la masikio yanauma kwa ndani na wakati mwingine yanatoa uchafu japo kwa kiasi kidogo(sio usaha).
Ninaomba msaada, dawa gani nzuri kwa tatizo langu hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.