Ninaomba msaada wa mawazo yenu

Ninaomba msaada wa mawazo yenu

nina hasara kubwa alitaka mtaji wa milioni 5 nikampa 6, nikasafiri, narudi nakuta vitz ipo nje nauliza naambiwa ya mama mdogo, kumuuliza kasema hakupanga kufanya biashara ya milioni 6 hivyo kaamua anunue gari, sasa hivi nimefunga kioo gari haina service wala mafuta limekaa tuu, nataka nimpangie vyumba kodi ya mwaka nimtafutie chuo nilipe ada ya mwaka, nimpe mtaji then nimbebe mpaka kwa wazazi wake nikambwage hapo kuwa msaa da wangu umeishia hapo atakuwa na hiari kukaa kwa mama yake au kwenye vyumba vyake

sio bure aisee kuna kitu utakuwa unakipata kutoka kwa huyo mdogo wako aisee. au kuna faida fulani unaipata sio bure
kwani ww unaishi na nani? umeolewa au laa huna ndugu wengine ??
mbona napata mashaka ila kama hupati chochote aisee una roho ngum sana maana duuu
 
yaelekea wewe ni fogo sana mkuu?sasa hzo pesa unazotaka kuzipoteza hapo kwa huyo mdogo wako kwa kumlipia ada c ni bora ukasaidie watoto yatima na mungu atakubariki?

asante mwaya ila matendo ya huruma nilishayafanya nilichukua mtoto yatima msimbazi akiwa mdogo wa miaka miwili sasa ni mkaka wa miaka sita na yuko dalasa ya pili, asante
 
sio bure aisee kuna kitu utakuwa unakipata kutoka kwa huyo mdogo wako aisee. au kuna faida fulani unaipata sio bure
kwani ww unaishi na nani? umeolewa au laa huna ndugu wengine ??
mbona napata mashaka ila kama hupati chochote aisee una roho ngum sana maana duuu

tumezaliwa watatu mimi ni wakwanza wapili ni yeye na watatu yuko india anasoma, nimeolewa
 
sio bure aisee kuna kitu utakuwa unakipata kutoka kwa huyo mdogo wako aisee. au kuna faida fulani unaipata sio bure
kwani ww unaishi na nani? umeolewa au laa huna ndugu wengine ??
mbona napata mashaka ila kama hupati chochote aisee una roho ngum sana maana duuu

sina ninachopata zaidi ya majanga tuu
 
Back
Top Bottom