LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,122
- 9,209
nina hasara kubwa alitaka mtaji wa milioni 5 nikampa 6, nikasafiri, narudi nakuta vitz ipo nje nauliza naambiwa ya mama mdogo, kumuuliza kasema hakupanga kufanya biashara ya milioni 6 hivyo kaamua anunue gari, sasa hivi nimefunga kioo gari haina service wala mafuta limekaa tuu, nataka nimpangie vyumba kodi ya mwaka nimtafutie chuo nilipe ada ya mwaka, nimpe mtaji then nimbebe mpaka kwa wazazi wake nikambwage hapo kuwa msaa da wangu umeishia hapo atakuwa na hiari kukaa kwa mama yake au kwenye vyumba vyake
sio bure aisee kuna kitu utakuwa unakipata kutoka kwa huyo mdogo wako aisee. au kuna faida fulani unaipata sio bure
kwani ww unaishi na nani? umeolewa au laa huna ndugu wengine ??
mbona napata mashaka ila kama hupati chochote aisee una roho ngum sana maana duuu