cc- [HASHTAG]#kaveli[/HASHTAG]
Mkuu...Kwahyo ukipima na unigold,kama ni positive inaonesha vipi na hakuna 1 na 2?Upo sawa tunachoangalia ni mda ule reaction inapotokea maana bioline test ikikaa mda inaweza badilika badilika baada ya kupima ila pamoja na mabadiliko hayo haiwezi onyesha exactly kama una hiv na huku hauna
HIV inatokea endapo mstari utasimama kwenye 1 au 2 au vyote kwa pamoja
Kaveli ni jina la mtu ngoja anakuja.
Hii mambo huwa inamaana gani wakuu
unapima ili iweje?? utakonda kwa mawazo..tulia km unao unao tu km huna shukuru mungu na utulizane sasaNinaomba mwenye uwelewe zaidi juu yaHiv
Juzi nilipima na mpz wang cha kishangaza majb yalikuwa fresh baada ya zile dak 5 mpaka 10Ila cha kushangaza nilipoamka Asbh majb nilikuta yapo tofauti. Kiukweli poz lote liliisha. Nikamwita doctor akaniambia kuwa huwa inatokeaga. Akaja na hcho cha Pembeni kinaonesha kuwa yupo sawa. NAOMBA MSAADA WENU WADAIView attachment 472524