Ninaomba Ufafanuzi wa Kitaalam: Kwanini "exchange rates" kwa fedha za Japan na Kenya zinataka kufanana ilhali chumi zao zinatofautiana kwa mbali?

Sawa mkuu nimekusoma kwa mbaaaali kidogo. Ila umefafanua vizuri sana...
Bwana mkubwa Mbowe kama unapita hapa nakuomba ikiwezekana tembea kwa magoti hadi chamwino ukaombe radhi kwa Rais Magufuli la sivyo mtakufa tu mtakuwa mmekaidi sauti ya Mungu.
 
Magufuli anapeleka umeme kila kijiji mkoloni alishindwa.
 
Mkuu hapa umemaanisha kama vile ni nguvu ya soko ndo inaamua thamani ya fedha katika hizo "tiger economies".

Wakati sio kweli. Hao wa asia wanashusha thamani ya pesa zao makususi ili kufanya bidhaa zao ziwe na bei ndogo wakiuza katika masoko ya nje ya nchi zao.

Maana bidhaa wanazotengeneza nchi nyingi zinaweza kutengeneza kwahiyo ili kumiliki soko inabidi washushe thamani ya pesa zao ili bidhaa zao ziweze kununulika duniani kote.
 
Mbona unapanic? hupendi maendeleo anayoleta Rais Magufuli.
 
Exchange rate ni kiasi ambacho fedha moja cdomesic currency) inaweza nunua fedha nyingine(foreign currencies). Tuna Sina kuu mbili za exchange rate, fixed/pegged exchange rate, hii inapangwa na Benki kuu ya nchi husika(central bank) kulingana na mahitaji ya kiuchumi ya nchi husika mfano kuongeza "imports" na kupunguza "exports" na floating/ fluctuating exchange rate, hii inaongozwa na nguvu ya soko" interactions of forces of demand and supply" . Yawezekana central bank ya Kenya imeweka juu pesa yake (currency appreciation) mpaka kukalibiana na Japanese yene kwa sababu zake na sio kwamba chumi zao zinalingana au zimekalibia kulingana.
 
 
Pesa yenye thaman zaid duniani ni


KUWAIT DINAR (KWD)... ila pesa yenye nguvu ya matumizi ni United states Dollar (USD)..

NB: Dollar kwasabab inatumika karibia sehem zote duniani...


1KWD=7,500/-tsh

1USD =2,340/- tsh
 
Acheni kuweweseka nyie Wapinzani. Rais Magufuli ametupeleka uchumi wa kati kwa miaka mitano tu.
 
Kwanini wana value fedha dhidi ya USD ambayo thamani yake kihalisia ipo chini kuliko Pound Sterling
 
Walichofanya wakenya ni kupunguza sufuri kadhaa katika hela yao,yan hela hiyo unayoiona hapo si thamani yake halisi,ni kama walivyofanya zambia kwenye hela yao(kwacha),hata sisi hapa tunaweza kupunguza zero kadhaa ikasomeka hivi 1$ = 23tsh badala ya 1$=2300tsh
Hiyo hufanywa na nchi nyingi tu ili kuchochea biashara za export na import
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…