Ninaombeni ushauri, kila ninachowaza kujikomboa kiuchumi sifiki mbali

Ninaombeni ushauri, kila ninachowaza kujikomboa kiuchumi sifiki mbali

Beige

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2022
Posts
234
Reaction score
515
Hi wote,

Mimi ni mdada nina umri wa miaka 34.

Tatizo langu kubwa ni kustuck. Yaani kila ninachowaza kufanya kujikomboa kiuchumi sifiki popote. Ninawaza mno ila nimestuck.

Hapa ni saa 9 usiku usingizi umekata nawaza tuu. Sina mtaji, sina chanzo chochote cha kupata hela niweze kufanya biashara.

Hata biashara yenyewe nikiwaza sipati picha kamili ntafanya biashara ipi although napenda sana shughuli za kilimo.

Naomba mnisaidie ushauri na mawazo. Natanguliza shukrani za dhati
 
Una miaka 34 unalala pekee yako? Ndio maana una msongo wa mawazo. Tafuta mtu wa kulala naye akupeti peti kichwa kitatulia utapata suluhisho. Apo kichupa kimejaa tu ndio maana unakuwa hivo. Nani kasema mwanamke anaweza kuishi peke yake?!
 
Anza na hicho kidogo ulichonacho. Usisubiri hadi uwe na pesa nyingi ndio uanzishe jambo unalotaka kufanya. Take it easy. Usiumize kichwa sana kwa mawazo usije kuishia kupata ungonjwa wa shinikizo kubwa la damu.
Asante sana ubarikiwe.
 
Kama unapenda kilimo tafuta mtu
anaelima ushee nae kilimo upunguza risks ya kushindwa
 
Back
Top Bottom