Ninaombeni ushauri, kila ninachowaza kujikomboa kiuchumi sifiki mbali

Ninaombeni ushauri, kila ninachowaza kujikomboa kiuchumi sifiki mbali

Nilimuamini mtu ambaye amekuwa akilima vitunguu muda mrefu sana. Ila nilipigwa wakati wa mavuno nikapewa story nyingi, the rest is history.
Unapenda kilimo ila inaonekana kilimo chako cha WhatsApp..ukiamua kulima weka kambi mbamba tu mampa kila stage umo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hahaha yaani watu wanaona ukiolewa ndo mafanikio yako yanapoanzia hii nchi kiboko kabisa ushauri wa ovyo haijapata kutokea
Wasichokijua ndoa inaeza kua pia anguko lako, watanzania ifike sehemu tuache kusakama watu, midomo domo inachangia % kubwa sana kufanya watu waishie sehem isiyo sahihi [emoji35]
 
Kama una interest na kilimo hama ulipo hamia ndani ndani huko mashambani ujaribu bahati yako… au hamia nanjilinji mkoa wa lindi ukalime ufuta na mbaazi.. maeneo ya kulima yapo kibao ni we tuu kujitoa… ukikubali kuhamia nanjilinji me ntakusaidia sehemu ya kukaa(sio kwangu me Niko dar)na pa kuanzia ili utoboe..
Kwa ufuta mpaka hapo ameshachelewa labda kama unampa shamba lililo tayari
 
Pole sana kwa hilo nachokushauri focus kwa kile unachoona kitachokusaidia au km huna mtaji tafuta ka ambayo ni halali yenye mtaji mdogo usione aibu.

Maisha ni yako jitahidi sana kila utakachofanya ujiwekee akiba bila kuitoa jiwekee target baada ya hapo utaona matunda yake.

Mimi mwenyewe nilikua muhanga kila siku kichwa kilikua kinauma lkn nilikaa chini nikajiuliza mbona Mungu amenipa kila kitu hali ya kua kuna baadhi wahajakamilika na wanapambana.Nilipata ujasiri mno full kujinyima nlipokua nakosa mpaka hivi leo nashukuru nilipofikia sikati tamaa japo changamoto hazikosekani.
 
Hi wote,

Mimi ni mdada nina umri wa miaka 34.

Tatizo langu kubwa ni kustuck. Yaani kila ninachowaza kufanya kujikomboa kiuchumi sifiki popote. Ninawaza mno ila nimestuck.

Hapa ni saa 9 usiku usingizi umekata nawaza tuu. Sina mtaji, sina chanzo chochote cha kupata hela niweze kufanya biashara.

Hata biashara yenyewe nikiwaza sipati picha kamili ntafanya biashara ipi although napenda sana shughuli za kilimo.

Naomba mnisaidie ushauri na mawazo. Natanguliza shukrani za dhati
Hi wote,

Mimi ni mdada nina umri wa miaka 34.

Tatizo langu kubwa ni kustuck. Yaani kila ninachowaza kufanya kujikomboa kiuchumi sifiki popote. Ninawaza mno ila nimestuck.

Hapa ni saa 9 usiku usingizi umekata nawaza tuu. Sina mtaji, sina chanzo chochote cha kupata hela niweze kufanya biashara.

Hata biashara yenyewe nikiwaza sipati picha kamili ntafanya biashara ipi although napenda sana shughuli za kilimo.

Naomba mnisaidie ushauri na mawazo. Natanguliza shukrani za dhati
Tafuta kwanza mtaji kisha rudi
tukushauri
biashara ya kufanya.
Hi wote,

Mimi ni mdada nina umri wa miaka 34.

Tatizo langu kubwa ni kustuck. Yaani kila ninachowaza kufanya kujikomboa kiuchumi sifiki popote. Ninawaza mno ila nimestuck.

Hapa ni saa 9 usiku usingizi umekata nawaza tuu. Sina mtaji, sina chanzo chochote cha kupata hela niweze kufanya biashara.

Hata biashara yenyewe nikiwaza sipati picha kamili ntafanya biashara ipi although napenda sana shughuli za kilimo.

Naomba mnisaidie ushauri na mawazo. Natanguliza shukrani za dhati
 
Tafuta Maji ya upako ya Mwamposa,uwe unakunywa na kuogea utoe mikosi kwanza.
Alafu huwa hatuanzi kutafuta mtaji kwanza,tunatafuta wazo la Biashara kwanza ambalo ndiyo litaamua uwe na mtaji kiasi gani.
Usipuuze kujilinda kiroho,tafuta maji ya upako!
 
Kama una chura hata usiteseke Sana
Hi wote,

Mimi ni mdada nina umri wa miaka 34.

Tatizo langu kubwa ni kustuck. Yaani kila ninachowaza kufanya kujikomboa kiuchumi sifiki popote. Ninawaza mno ila nimestuck.

Hapa ni saa 9 usiku usingizi umekata nawaza tuu. Sina mtaji, sina chanzo chochote cha kupata hela niweze kufanya biashara.

Hata biashara yenyewe nikiwaza sipati picha kamili ntafanya biashara ipi although napenda sana shughuli za kilimo.

Naomba mnisaidie ushauri na mawazo. Natanguliza shukrani za dhati
 
When everybody is running but don't know why time is running short.........
 
Back
Top Bottom