The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Na huko Arusha aliko rate ya wanaume kuoa Ni ndogo labda angekuwa Usukumani au Mikoa mingine except Dar, KilimanjaroLingekuwa n swala la wao kuamua, nadhani wengi sana wangekuwa kwenye ndoa zao.
Unapenda kilimo ila inaonekana kilimo chako cha WhatsApp..ukiamua kulima weka kambi mbamba tu mampa kila stage umo.Nilimuamini mtu ambaye amekuwa akilima vitunguu muda mrefu sana. Ila nilipigwa wakati wa mavuno nikapewa story nyingi, the rest is history.
Wasichokijua ndoa inaeza kua pia anguko lako, watanzania ifike sehemu tuache kusakama watu, midomo domo inachangia % kubwa sana kufanya watu waishie sehem isiyo sahihi [emoji35]Hahaha yaani watu wanaona ukiolewa ndo mafanikio yako yanapoanzia hii nchi kiboko kabisa ushauri wa ovyo haijapata kutokea
Kilosa mikumi huku, kijiji cha Malolo tunafanya kilimo cha umwagiliaji!Upo moro sehem gani mkuu??
Kwa ufuta mpaka hapo ameshachelewa labda kama unampa shamba lililo tayariKama una interest na kilimo hama ulipo hamia ndani ndani huko mashambani ujaribu bahati yako… au hamia nanjilinji mkoa wa lindi ukalime ufuta na mbaazi.. maeneo ya kulima yapo kibao ni we tuu kujitoa… ukikubali kuhamia nanjilinji me ntakusaidia sehemu ya kukaa(sio kwangu me Niko dar)na pa kuanzia ili utoboe..
Vipi upatikanaji was Masha, VA ya kukodi na bei ikoje?Kilosa mikumi huku, kijiji cha Malolo tunafanya kilimo cha umwagiliaji!
Kilosa mikumi huku, kijiji cha Malolo tunafanya kilimo cha umwagiliaji!
Unataka kumuibia tenaTafuta laki 2 kwanza nikupeleke kwa mganga!
Hi wote,
Mimi ni mdada nina umri wa miaka 34.
Tatizo langu kubwa ni kustuck. Yaani kila ninachowaza kufanya kujikomboa kiuchumi sifiki popote. Ninawaza mno ila nimestuck.
Hapa ni saa 9 usiku usingizi umekata nawaza tuu. Sina mtaji, sina chanzo chochote cha kupata hela niweze kufanya biashara.
Hata biashara yenyewe nikiwaza sipati picha kamili ntafanya biashara ipi although napenda sana shughuli za kilimo.
Naomba mnisaidie ushauri na mawazo. Natanguliza shukrani za dhati
Tafuta kwanza mtaji kisha rudiHi wote,
Mimi ni mdada nina umri wa miaka 34.
Tatizo langu kubwa ni kustuck. Yaani kila ninachowaza kufanya kujikomboa kiuchumi sifiki popote. Ninawaza mno ila nimestuck.
Hapa ni saa 9 usiku usingizi umekata nawaza tuu. Sina mtaji, sina chanzo chochote cha kupata hela niweze kufanya biashara.
Hata biashara yenyewe nikiwaza sipati picha kamili ntafanya biashara ipi although napenda sana shughuli za kilimo.
Naomba mnisaidie ushauri na mawazo. Natanguliza shukrani za dhati
Hi wote,
Mimi ni mdada nina umri wa miaka 34.
Tatizo langu kubwa ni kustuck. Yaani kila ninachowaza kufanya kujikomboa kiuchumi sifiki popote. Ninawaza mno ila nimestuck.
Hapa ni saa 9 usiku usingizi umekata nawaza tuu. Sina mtaji, sina chanzo chochote cha kupata hela niweze kufanya biashara.
Hata biashara yenyewe nikiwaza sipati picha kamili ntafanya biashara ipi although napenda sana shughuli za kilimo.
Naomba mnisaidie ushauri na mawazo. Natanguliza shukrani za dhati
Hi wote,
Mimi ni mdada nina umri wa miaka 34.
Tatizo langu kubwa ni kustuck. Yaani kila ninachowaza kufanya kujikomboa kiuchumi sifiki popote. Ninawaza mno ila nimestuck.
Hapa ni saa 9 usiku usingizi umekata nawaza tuu. Sina mtaji, sina chanzo chochote cha kupata hela niweze kufanya biashara.
Hata biashara yenyewe nikiwaza sipati picha kamili ntafanya biashara ipi although napenda sana shughuli za kilimo.
Naomba mnisaidie ushauri na mawazo. Natanguliza shukrani za dhati
Kwa ushauri wako anahitaji nini zaidi ya hilo based on her version of the story?Unataka kumuibia tena
Horticulture zote tu, like nyanya, pilipili, hoho, bamia, chungu, tikiti. Nafaka kuna mahindi, mpunga (wakat wa masika)Huko mnalima mazao gani?