peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Mbeya ni Jiji kabla ya Mwanza... Mbeya ni jiji kabla ya Tanga.Mji wa mbeya hauna miundombinu ya barabara hata kidogo!
Ni vigezo gani vilitumika mbeya kuwa jiji?
Ungeuliza kwanza kuhusu Tanga kabla ya mbeyaMji wa mbeya hauna miundombinu ya barabara hata kidogo!
Ni vigezo gani vilitumika mbeya kuwa jiji?
Milima na mabonde ndo vigezo.Mji wa mbeya hauna miundombinu ya barabara hata kidogo!
Ni vigezo gani vilitumika mbeya kuwa jiji?
Siyo kweli, kitambo tulikuwa na majiji mawili tu Dar na Mwanza.Mbeya ni Jiji kabla ya Mwanza... Mbeya ni jiji kabla ya Tanga.
Shida ni CCM... na upumbvu wao.
Sasa Barabara ndio zinazuia Mji kuwa Jiji?Mji wa mbeya hauna miundombinu ya barabara hata kidogo!
Ni vigezo gani vilitumika mbeya kuwa jiji?
Mpangilio wa mji haupo, ujenzi holela Kila Kona, uchafu mji mzima, kelele mji mzima,Sasa Barabara ndio zinazuia Mji kuwa Jiji?
Mpangilio wa mji haupo, ujenzi holela Kila Kona, uchafu mji mzima, kelele mji mzima,
Una vituko! Chunya hakuna maji safi na salama, hakuna uneme wauhakika, watu wanajisaidia vichakani, hakuna Barabara za uhakika. Unaweka takwimu za fedha ambazo hazina maana Wala faida kwa wananchi.
Chunya ni Kijijini hata mkinywa mkojo wa punda ni sawa,hoja ni Mbeya JijiUna vituko! Chunya hakuna maji safi na salama, hakuna uneme wauhakika, watu wanajisaidia vichakani, hakuna Barabara za uhakika. Unaweka takwimu za fedha ambazo hazina maana Wala faida kwa wananchi.
Kama ni kijijini mapato yake uliyoyaweka hapo yametokea mjini?Chunya ni Kijijini hata mkinywa mkojo wa punda ni sawa,hoja ni Mbeya Jiji