Ninaona sijatendewa haki katika kuachishwa kazi

Ninaona sijatendewa haki katika kuachishwa kazi

kimpango

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2011
Posts
600
Reaction score
717
wakuu niliajiriwa na taasisi moja ya serikali kwa mkataba wa muda flani ,lakini nikiwa kati ya mkataba siku yangu ya kazi nikiwa kazini ikatokea tukio linalohusu kazi lililofanywa na mtu mwingine chini yangu kimakosa ya kibinadamu sasa tukio lile limefanya nisitishiwe mkataba mpya baada ya ule wa awali kuisha na kuongezewa mwingine ...WANASHERIA NAOMBA MSAADA WENU MAANA NAWAZA NAMNA YA KUPATA HAKI YANGU.. nb ushahidi wa cctv ndio ulionihukumu .
 
Ulijiunga na chama husika cha wafanyakazi? Hao ndio msaada wa haraka zaidi kwako!
 
Ni kosa gani hilo ambalo halina warning au mkataba wako umeongelea chochote kuhusiana na hilo tukio lililofanyika?
 
wakuu niliajiriwa na taasisi moja ya serikali kwa mkataba wa muda flani ,lakini nikiwa kati ya mkataba siku yangu ya kazi nikiwa kazini ikatokea tukio linalohusu kazi lililofanywa na mtu mwingine chini yangu kimakosa ya kibinadamu sasa tukio lile limefanya nisitishiwe mkataba mpya baada ya ule wa awali kuisha na kuongezewa mwingine ...WANASHERIA NAOMBA MSAADA WENU MAANA NAWAZA NAMNA YA KUPATA HAKI YANGU.. nb ushahidi wa cctv ndio ulionihukumu .
sijaelewa hapo kwenye red. ila pole sana mkuu
 
sijaelewa hapo kwenye red. ila pole sana mkuu
ninachomaanisha kosa lilitokea kwenye mkataba wa mwingine mambo yakaenda nikapewa mkataba mpya then barua ya kusitishiwa mkataba imeandikwa kutokana na kosa la miezi minne iliyopita
 
ninachomaanisha kosa lilitokea kwenye mkataba wa mwingine mambo yakaenda nikapewa mkataba mpya then barua ya kusitishiwa mkataba imeandikwa kutokana na kosa la miezi minne iliyopita
Mbona haueleweki?
 
ninachomaanisha kosa lilitokea kwenye mkataba wa mwingine mambo yakaenda nikapewa mkataba mpya then barua ya kusitishiwa mkataba imeandikwa kutokana na kosa la miezi minne iliyopita
Mi nnachojua mwajili au mwajiliwa ana uhuru wa kuterminate mkataba muda wowote. Kwa kesi hiyo nafikilia anatakiwa akulipe fidia kwa sababu kakatisha mkataba mpya katikati
 
kama mkataba ulishakwisha mwajiri ana haki ya kuendelea au kutoendelea kukupatia mkataba mpya kutegemeana na umuhimu wako wewe kwake,pole sana mkuu,ni wakati wa kujaribu ujasiriamali mkuu huku ukiapply kwingine
 
Back
Top Bottom