Mkwawa
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,334
- 1,466
Kuna mambo yanajitokeza kwenye upelelezi wa kesi hizi za mauji Tanzania, na kila mara serikali yetu imekuwa ikituaminisha kuwa inashirikiana na FBI na wapo kwenye eneo la tukio wakisaidiana kufanya uchunguzi.
Siamini kabisa kama FBI wamefanya uchunuzi wowote uwe ule wa Zanzibar baada ya mapdri kupigwa risasi au huu wa ugaidi wa Arusha.
Weledi na jinsi FBI wanavyofanyakazi hauonekani kabisa katika utendaji na majibu haya tunayoyaona.
FBI wangetaka kujua chanzo cha bomu, nani kashashi kwanini Arusha mlengwa alikuwa ni nani, nani katoa fedha kufanikisha kitendo kile, nani katengeneza bomu, lilifikaje. Je hawa machalii waendesha boda boda kweli ndio walirusha bomu na kama ni kweli je walikuwa wanajua wanarusha bomu??
Haingii akilini kumg'ang'ania mwendesha bodaboda darasa la saba na upatiakani na sababu za kurusha bomu kanisa. What is motives???!! Nothing does add up.
Na kama bomu ni sio la kienyeji kweli hawa waendesha bodaboda wanaweza kununua bomu???
Sioni kabisa kama FBI wapo hata Tanzania labda kama tunawafuata pale ubalozini na kuomba ushauri halafu tunafanya yetu.
Tusipofanya utafiti wakina tusoshangae wengi wakatumia upumbavu wetu wa kujichakulia adui halafu wakafanya kweli. Na kwasababu tunapenda mzaha haya mambo yanakuwa kila siku.
Siamini kabisa kama FBI wamefanya uchunuzi wowote uwe ule wa Zanzibar baada ya mapdri kupigwa risasi au huu wa ugaidi wa Arusha.
Weledi na jinsi FBI wanavyofanyakazi hauonekani kabisa katika utendaji na majibu haya tunayoyaona.
FBI wangetaka kujua chanzo cha bomu, nani kashashi kwanini Arusha mlengwa alikuwa ni nani, nani katoa fedha kufanikisha kitendo kile, nani katengeneza bomu, lilifikaje. Je hawa machalii waendesha boda boda kweli ndio walirusha bomu na kama ni kweli je walikuwa wanajua wanarusha bomu??
Haingii akilini kumg'ang'ania mwendesha bodaboda darasa la saba na upatiakani na sababu za kurusha bomu kanisa. What is motives???!! Nothing does add up.
Na kama bomu ni sio la kienyeji kweli hawa waendesha bodaboda wanaweza kununua bomu???
Sioni kabisa kama FBI wapo hata Tanzania labda kama tunawafuata pale ubalozini na kuomba ushauri halafu tunafanya yetu.
Tusipofanya utafiti wakina tusoshangae wengi wakatumia upumbavu wetu wa kujichakulia adui halafu wakafanya kweli. Na kwasababu tunapenda mzaha haya mambo yanakuwa kila siku.
