Ninapata mashaka makubwa kama FBI wamehusika na upelelezi wa Arusha na Zanzibar

Ninapata mashaka makubwa kama FBI wamehusika na upelelezi wa Arusha na Zanzibar

usiwe na mashaka na wala usipatwe na mashaka yoyote kwani hujui kuwa nchi ishauzwa hii wewe ngoja nawe huuzwe pia ndipo macho yakio yatafunguka
Kuna mambo yanajitokeza kwenye upelelezi wa kesi hizi za mauji Tanzania, na kila mara serikali yetu imekuwa ikituaminisha kuwa inashirikiana na FBI na wapo kwenye eneo la tukio wakisaidiana kufanya uchunguzi.

Siamini kabisa kama FBI wamefanya uchunuzi wowote uwe ule wa Zanzibar baada ya mapdri kupigwa risasi au huu wa ugaidi wa Arusha.

Weledi na jinsi FBI wanavyofanyakazi hauonekani kabisa katika utendaji na majibu haya tunayoyaona.

FBI wangetaka kujua chanzo cha bomu, nani kashashi kwanini Arusha mlengwa alikuwa ni nani, nani katoa fedha kufanikisha kitendo kile, nani katengeneza bomu, lilifikaje. Je hawa machalii waendesha boda boda kweli ndio walirusha bomu na kama ni kweli je walikuwa wanajua wanarusha bomu??

Haingii akilini kumg'ang'ania mwendesha bodaboda darasa la saba na upatiakani na sababu za kurusha bomu kanisa. What is motives???!! Nothing does add up.

Na kama bomu ni sio la kienyeji kweli hawa waendesha bodaboda wanaweza kununua bomu???

Sioni kabisa kama FBI wapo hata Tanzania labda kama tunawafuata pale ubalozini na kuomba ushauri halafu tunafanya yetu.

Tusipofanya utafiti wakina tusoshangae wengi wakatumia upumbavu wetu wa kujichakulia adui halafu wakafanya kweli. Na kwasababu tunapenda mzaha haya mambo yanakuwa kila siku.
 
Umesikia sheha Zanzibar kamwagiwa tindikali leo ili hali ile kesi ya kumuua padri inataka kufutwa kwa kukosekana ushahidi.
 
Kuna mambo yanajitokeza kwenye upelelezi wa kesi hizi za mauji Tanzania, na kila mara serikali yetu imekuwa ikituaminisha kuwa inashirikiana na FBI na wapo kwenye eneo la tukio wakisaidiana kufanya uchunguzi.

Siamini kabisa kama FBI wamefanya uchunuzi wowote uwe ule wa Zanzibar baada ya mapdri kupigwa risasi au huu wa ugaidi wa Arusha.

Weledi na jinsi FBI wanavyofanyakazi hauonekani kabisa katika utendaji na majibu haya tunayoyaona.

FBI wangetaka kujua chanzo cha bomu, nani kashashi kwanini Arusha mlengwa alikuwa ni nani, nani katoa fedha kufanikisha kitendo kile, nani katengeneza bomu, lilifikaje. Je hawa machalii waendesha boda boda kweli ndio walirusha bomu na kama ni kweli je walikuwa wanajua wanarusha bomu??

Haingii akilini kumg'ang'ania mwendesha bodaboda darasa la saba na upatiakani na sababu za kurusha bomu kanisa. What is motives???!! Nothing does add up.

Na kama bomu ni sio la kienyeji kweli hawa waendesha bodaboda wanaweza kununua bomu???

Sioni kabisa kama FBI wapo hata Tanzania labda kama tunawafuata pale ubalozini na kuomba ushauri halafu tunafanya yetu.

Tusipofanya utafiti wakina tusoshangae wengi wakatumia upumbavu wetu wa kujichakulia adui halafu wakafanya kweli. Na kwasababu tunapenda mzaha haya mambo yanakuwa kila siku.
Nilishawahi kuwauliza jamaa zangu hili swali lakini walipuuza.

Niliuliza, kama ni kweli FBI wanakuja, kwa nini itangazwe?

:Shughuli za kipilelezi huwa ni za siri, kulikuwa na ulazima gani kutangaza watakaofanya upelezi huo?

:Je, haikuwa njia ya kuhamisha lawama ili upelelezi usiporidhisha lawama ziende kwa FBI?

:Sio njia ya kuhalalisha udhaifu wa wapelelezi wetu kwamba kama walishindwa mbona hata FBI wameshindwa?

:Haikuwa njia ya kisiasa ya mkuu wa kaya kuonyesha tu kwamba ameguswa sana na matukio hivyo ameamua kuita FBI?

:Wote tunamjua mkuu wa kaya kwamba hapendi kuudhi watu flani flani hivi, Je, haikuwa njia ya kujivua lawama kwamba watakaokamatwa sio yeye bali ni FBI?

Mwisho wa siku naungana na wewe kuwa na mashaka kama kweli kuna FBI katika upelelezi wa matukio ya Zanzibar na Arusha.
 
labda kama kuna rafiki zao wazungu ndio walikuja hapa but hao FBI hawajaja maana ushahidi unaotolewa ni wa kiccm zaidi
 
siasa tupu amna FBI Aliyefka Tanzania hizi mbinu huwa znatumika kutulza jamii...wakrsto waltulizwa ikiamika kuwa marekan ni wafuas wakuu wa ukristo
 
Back
Top Bottom