Simba Mkali
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 620
- 239
WADAU miye ni mjasiriamali nina uwezo wa kuingiza milioni 2 na pointi kadhaa kwa mwezi kwenye biashara yangu ya kukodisha gari katika hoteli hapa jijini na kuingiza wastani wa milioni 24 kwa mwaka . Nimejaribu mara kwenda Axim Bank, Finca na Akiba Commercial Bank ili kuomba mkopo wa Milioni 50 nimedunda.
Axim Bank waliniambia hawa-deal na mikopo midogo, bali wana-deal na wafanyabiashara wakubwa na kuwakopeshwa kuanzia milioni 100 na kuendelea. Akiba na Finca wao walisema hawakopeshi mtu mwenye gari moja, wananitaka niongeze gari nyingine ndipo wanikopeshe. Binafsi sina uwezo wa kuongeza gari la pili bila ya kupata mkopo. Nikawaambia wanikopeshe ili nikanunue gari la pili niliingize kwenye biashara wamekataa katakata. NIMEKWAMA. TAFADHALI nani anajua sehemu ninayoweza kukopesheka?
Axim Bank waliniambia hawa-deal na mikopo midogo, bali wana-deal na wafanyabiashara wakubwa na kuwakopeshwa kuanzia milioni 100 na kuendelea. Akiba na Finca wao walisema hawakopeshi mtu mwenye gari moja, wananitaka niongeze gari nyingine ndipo wanikopeshe. Binafsi sina uwezo wa kuongeza gari la pili bila ya kupata mkopo. Nikawaambia wanikopeshe ili nikanunue gari la pili niliingize kwenye biashara wamekataa katakata. NIMEKWAMA. TAFADHALI nani anajua sehemu ninayoweza kukopesheka?