Ninapata tabu kuamini kama Megawat 268 zinafanya karibu nchi nzima isiwe na umeme

Ninapata tabu kuamini kama Megawat 268 zinafanya karibu nchi nzima isiwe na umeme

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Nimeona taarifa ya Tanesco kuwa kumetokea hitilafu ya mfumo katika kituo chake cha uzalishaji umeme kwa njia ya gesi cha Ubungo na kusababisha upungufu ya uzalishaji wa umeme kwa jumla ya megawati 268 kwenye mfumo, hivyo baadhi ya maeneo kwenye mikoa yanakosa umeme nyakati tofauti.

Nimempigia mtu yupo Arusha kaniambia hakuna Umeme, Dodoma hakuna umeme, nikapiga Iringa nikaambiwa hakuna umeme! Dar karibu yote hakuna umeme na upungufu ni Megawa 268 wakati uzalishaji wa umeme nchini ni zaidi ya Megawati 1,700+.

Screenshot_2023-08-22-14-06-14-99_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg


Bado najiuliza ni kweli Megawati 268 ambazo zinazalishwa hapo Ubungo ndizo zinasababisha tukose umeme karibu nchi nzima? Au kuna mengine ila hatuambiwi ukweli?
 
Nimeona taarifa ya Tanesco kuwab kumetokea hitilafu ya mfumo katika kituo chake cha uzalishaji umeme kwa njia ya gesi cha Ubungo na kusababisha upungufu ya uzalishaji wa umeme kwa jumla ya megawati 268 kwenye mfumo, hivyo baadhi ya maeneo kwenye mikoa yanakosa umeme nyakati tofauti.

Nimempigia mtu yupo Arusha kaniambia hakuna Umeme, Dodoma hakuna umeme, nikapiga Iringa nikaambiwa hakuna umeme! Dar karibu yote hakuna umeme na upungufu ni Megawa 268 wakati uzalishaji wa umeme nchini ni zaidi ya Megawati 1,700+.
View attachment 2725139
Bado najiuliza ni kweli Megawati 268 ambazo zinazalishwa hapo Ubungo ndizo zinasababi tukose umeme karibu nchi nzima? Au kuna mengine ila hatuambiwi ukweli?
Hapa, ukiona 268MW inasababisha almost zaidi ya nusu ya Tanzania ikose umeme, basi total production, nina wasiwasi kama ni 1700MW +
 
Nimeona taarifa ya Tanesco kuwab kumetokea hitilafu ya mfumo katika kituo chake cha uzalishaji umeme kwa njia ya gesi cha Ubungo na kusababisha upungufu ya uzalishaji wa umeme kwa jumla ya megawati 268 kwenye mfumo, hivyo baadhi ya maeneo kwenye mikoa yanakosa umeme nyakati tofauti.

Nimempigia mtu yupo Arusha kaniambia hakuna Umeme, Dodoma hakuna umeme, nikapiga Iringa nikaambiwa hakuna umeme! Dar karibu yote hakuna umeme na upungufu ni Megawa 268 wakati uzalishaji wa umeme nchini ni zaidi ya Megawati 1,700+.
View attachment 2725139
Bado najiuliza ni kweli Megawati 268 ambazo zinazalishwa hapo Ubungo ndizo zinasababi tukose umeme karibu nchi nzima? Au kuna mengine ila hatuambiwi ukweli?
Kipara mpiga dili sana
 
Hivi utulivu gani huu mtu anamimina mchanga kwenye chakula chako jua Kali huku una njaa na bado unamtazama!?
ni ubwege tu uliotujaa. Ujasiri wetu ni hivi nyuma ya keyboard. Ndio maana kina Makamba wanatufanya watakavyo.
 
Back
Top Bottom