Ninapata tabu kuamini kama Megawat 268 zinafanya karibu nchi nzima isiwe na umeme

Ninapata tabu kuamini kama Megawat 268 zinafanya karibu nchi nzima isiwe na umeme

Hapo tunahamishwa mawazo tuache bandari tuongelee umeme ila hakuna chochote kilichoharibika. Zaidi watauza na tanEskooo waseme imeshindwa kujiendesha
 
Nimeona taarifa ya Tanesco kuwa kumetokea hitilafu ya mfumo katika kituo chake cha uzalishaji umeme kwa njia ya gesi cha Ubungo na kusababisha upungufu ya uzalishaji wa umeme kwa jumla ya megawati 268 kwenye mfumo, hivyo baadhi ya maeneo kwenye mikoa yanakosa umeme nyakati tofauti.

Nimempigia mtu yupo Arusha kaniambia hakuna Umeme, Dodoma hakuna umeme, nikapiga Iringa nikaambiwa hakuna umeme! Dar karibu yote hakuna umeme na upungufu ni Megawa 268 wakati uzalishaji wa umeme nchini ni zaidi ya Megawati 1,700+.

View attachment 2725139

Bado najiuliza ni kweli Megawati 268 ambazo zinazalishwa hapo Ubungo ndizo zinasababisha tukose umeme karibu nchi nzima? Au kuna mengine ila hatuambiwi ukweli?
Ongeza Unguja pia ni giza
 
Nimeona taarifa ya Tanesco kuwa kumetokea hitilafu ya mfumo katika kituo chake cha uzalishaji umeme kwa njia ya gesi cha Ubungo na kusababisha upungufu ya uzalishaji wa umeme kwa jumla ya megawati 268 kwenye mfumo, hivyo baadhi ya maeneo kwenye mikoa yanakosa umeme nyakati tofauti.

Nimempigia mtu yupo Arusha kaniambia hakuna Umeme, Dodoma hakuna umeme, nikapiga Iringa nikaambiwa hakuna umeme! Dar karibu yote hakuna umeme na upungufu ni Megawa 268 wakati uzalishaji wa umeme nchini ni zaidi ya Megawati 1,700+.

View attachment 2725139

Bado najiuliza ni kweli Megawati 268 ambazo zinazalishwa hapo Ubungo ndizo zinasababisha tukose umeme karibu nchi nzima? Au kuna mengine ila hatuambiwi ukweli?
Rais wangu mpendwa anahujumiwa!
Ningekuwa nipo kwenye kiti chake,zamani sana ningekuwa nimekatumbua kamarope.
Sijui kana bahati gani.
 
Back
Top Bottom