Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
- Thread starter
-
- #21
Ntakufikia soonMademu 13 tu unafungua Uzi?
Hao Mimi Huwa wa Kila mwaka.
Watu tulishapika mwendokadi tatu za mbagala wanaojiuza, Kosta mbili za mkoani wa kutongoza, Noah mbili michepuko ya kudumu na taxi ππ wakufa na kuzikana hata wanapiolewa tunaluendeleza na kuwatua mimba, na mke mmoja Kwa ajiri ya sakramenti na kulea watoto.
Aisee ukweli ambao nauona ni kwamba msukumo wa ndugu unaweza kunifanya nikafanya jambo kwa kukurupuka alafu likaja kuniathiri pakubwa maishani.Brother nilioa at 24yrs kilichonikuta naenda mwaka wa nne naishi kama sijawahi kuoa, so usifanye haraka mzee
Wasalaam,
Iko ivi mi ni kijana kati ya 30 to 35yrs old,
Nimekua kwenye mahusiano mbali mbali kwa wanawake wasio pungua 13...
Nikijana ambaye bado najitafuta, kuhonga siwezi ila matumizi ya pamoja hayanishindi
Kwasasa ninamahusiano na demu ambaye nnaweza jumuoa akitulia lakini...
Shida inakuja ni usumbufu kutoka kwa ma X zangu, wamekua wakinisumbua saana wakitaka turudiane ama tuwe tunapasha viporo, najaribu kuwa weka wazi kwamba nini mtu lakini bado haisaaidii yaani kila anayegeuka X hua hakubali ku move on...
Sababu kuubwa zinazo nifanya niachane nao ni mkwanja (pesa) maana sina hela yakuwanunulia ata pafyumu hivo huamua kunichanganya na wanaowahonga na kisha nawapiga chini mazima...
Nina huruma saana hasa wakinijia kiupole kuna wakati hua natamani kuwapa wanachotaka lakini nikiwaza kurudia matapishi ni bora nianze upyaaa
Mnisaidie sasa nifanyeje ili waache kunisumbua au ni kitu gani hutokea kwa mwanamke pale anapoamua kurudi kwa X wake baada ya kuhangaika huko bili kujali kama mwanaume ako tayari na mtu mwingine?
#Thamani ya mtu ni utu na si kitu[emoji179]
Wasalaam,
Iko ivi mi ni kijana kati ya 30 to 35yrs old,
Nimekua kwenye mahusiano mbali mbali kwa wanawake wasio pungua 13...
Nikijana ambaye bado najitafuta, kuhonga siwezi ila matumizi ya pamoja hayanishindi
Kwasasa ninamahusiano na demu ambaye nnaweza jumuoa akitulia lakini...
Shida inakuja ni usumbufu kutoka kwa ma X zangu, wamekua wakinisumbua saana wakitaka turudiane ama tuwe tunapasha viporo, najaribu kuwa weka wazi kwamba nini mtu lakini bado haisaaidii yaani kila anayegeuka X hua hakubali ku move on...
Sababu kuubwa zinazo nifanya niachane nao ni mkwanja (pesa) maana sina hela yakuwanunulia ata pafyumu hivo huamua kunichanganya na wanaowahonga na kisha nawapiga chini mazima...
Nina huruma saana hasa wakinijia kiupole kuna wakati hua natamani kuwapa wanachotaka lakini nikiwaza kurudia matapishi ni bora nianze upyaaa
Mnisaidie sasa nifanyeje ili waache kunisumbua au ni kitu gani hutokea kwa mwanamke pale anapoamua kurudi kwa X wake baada ya kuhangaika huko bili kujali kama mwanaume ako tayari na mtu mwingine?
#Thamani ya mtu ni utu na si kitu[emoji179]
πππUmevuta ya wapi leoNashindwa kukushauri maana sina uzoefu sana na mapenzi nimekua na mahusiano na wanawake 23 tu ndani ya hii miaka miwili na wote nimeachana nao bado natafuta alietulia
Usiwasikilize hao uoe haraka wakusimange.... kuoa ua pale unajiskia kuoa n kabla ya kuoa chunguza tabia za demu ka demu ashatembea na madume zaid ya watano huyo hatojua dhamani ya ndoaAisee ukweli ambao nauona ni kwamba msukumo wa ndugu unaweza kunifanya nikafanya jambo kwa kukurupuka alafu likaja kuniathiri pakubwa maishani.
Nashukuru umenipa nguvu, angalau kwenye 32 years niwe nimeshoa, kwa sasa nna 29 nadhani hii 2 years iliyobakia inabidi niwe nimeshafanya mambo kwa umakini wangu wote.
Maana naona nikiisikiliza nguvu ya ndugu inaweza kunitoa kwenye reli
Siwatamani ila wananivuruga tuu kwa hurumaSiku ukiwa na msimamo ndio umuoe binti wa watu, ila kama ma x bado unawatamani utamsumbua mtoto wa watu
Kisimiri kule meru huwa inajiotea tu serekali imesema ni mbaya kwahiyo ndo tunavuta ili watoto wetu wasije kuikutaπππUmevuta ya wapi leo
13 tu?Wasalaam,
Iko ivi mi ni kijana kati ya 30 to 35yrs old,
Nimekua kwenye mahusiano mbali mbali kwa wanawake wasio pungua 13...
Nikijana ambaye bado najitafuta, kuhonga siwezi ila matumizi ya pamoja hayanishindi
Kwasasa ninamahusiano na demu ambaye nnaweza jumuoa akitulia lakini...
Shida inakuja ni usumbufu kutoka kwa ma X zangu, wamekua wakinisumbua saana wakitaka turudiane ama tuwe tunapasha viporo, najaribu kuwa weka wazi kwamba nini mtu lakini bado haisaaidii yaani kila anayegeuka X hua hakubali ku move on...
Sababu kuubwa zinazo nifanya niachane nao ni mkwanja (pesa) maana sina hela yakuwanunulia ata pafyumu hivo huamua kunichanganya na wanaowahonga na kisha nawapiga chini mazima...
Nina huruma saana hasa wakinijia kiupole kuna wakati hua natamani kuwapa wanachotaka lakini nikiwaza kurudia matapishi ni bora nianze upyaaa
Mnisaidie sasa nifanyeje ili waache kunisumbua au ni kitu gani hutokea kwa mwanamke pale anapoamua kurudi kwa X wake baada ya kuhangaika huko bili kujali kama mwanaume ako tayari na mtu mwingine?
#Thamani ya mtu ni utu na si kituπ
Ndio kwa mwaka mmoja hao13 tu?
π€£π€£π€£Kisimiri kule meru huwa inajiotea tu serekali imesema ni mbaya kwahiyo ndo tunavuta ili watoto wetu wasije kuikuta
Ishu sio kutembeza moto ishu ni kurudia moto mdo naona mizinguoNasisitiza hili jambo mana ni muhimu sana zingatia afya na watembezee moto ..,
Yeyote anayetaka we peleka moto..,
Atatokea mmoja ambaye utajikuta kwake umefika kiasi wengne wote utaacha na kubaki naye
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Uwashe tena mzee ..,kwenye haya mambo muda mwingne ukitumia akili nyiing hautobiiIshu sio kutembeza moto ishu ni kurudia moto mdo naona mizinguo
We mwenyewe hujatuliaNashindwa kukushauri maana sina uzoefu sana na mapenzi nimekua na mahusiano na wanawake 23 tu ndani ya hii miaka miwili na wote nimeachana nao bado natafuta alietulia
Ukitaka mwanamke akuache usimpe hela tu hata ya nauli akija kwakoWasalaam,
Iko ivi mi ni kijana kati ya 30 to 35yrs old,
Nimekua kwenye mahusiano mbali mbali kwa wanawake wasio pungua 13...
Nikijana ambaye bado najitafuta, kuhonga siwezi ila matumizi ya pamoja hayanishindi
Kwasasa ninamahusiano na demu ambaye nnaweza jumuoa akitulia lakini...
Shida inakuja ni usumbufu kutoka kwa ma X zangu, wamekua wakinisumbua saana wakitaka turudiane ama tuwe tunapasha viporo, najaribu kuwa weka wazi kwamba nini mtu lakini bado haisaaidii yaani kila anayegeuka X hua hakubali ku move on...
Sababu kuubwa zinazo nifanya niachane nao ni mkwanja (pesa) maana sina hela yakuwanunulia ata pafyumu hivo huamua kunichanganya na wanaowahonga na kisha nawapiga chini mazima...
Nina huruma saana hasa wakinijia kiupole kuna wakati hua natamani kuwapa wanachotaka lakini nikiwaza kurudia matapishi ni bora nianze upyaaa
Mnisaidie sasa nifanyeje ili waache kunisumbua au ni kitu gani hutokea kwa mwanamke pale anapoamua kurudi kwa X wake baada ya kuhangaika huko bili kujali kama mwanaume ako tayari na mtu mwingine?
#Thamani ya mtu ni utu na si kitu[emoji179]
Vyote ivo nimejaribu wakawa wananihonga mmUkitaka mwanamke akuache usimpe hela tu hata ya nauli akija kwako
Utajuaje ametembea na wanaume zaid ya watano?Usiwasikilize hao uoe haraka wakusimange.... kuoa ua pale unajiskia kuoa n kabla ya kuoa chunguza tabia za demu ka demu ashatembea na madume zaid ya watano huyo hatojua dhamani ya ndoa
Kumbe kisimiri ipo meru?Kisimiri kule meru huwa inajiotea tu serekali imesema ni mbaya kwahiyo ndo tunavuta ili watoto wetu wasije kuikuta