comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
thread hii inakuja kwako Kwa udhamini mkubwa kabisa wa samsung s8+!
Comrade, mtaani wanapenda kuniita mzee wa black and white!
eebanaeE! sijisifii, lakini kwa upande wa kutundika mavazi mwilini sipo nyuma, asee napenda kupiga nguo black and white! kama hapa sasa nimepiga raba kaliiii aina ya NIKE nyeupe, yenye thamani ya 80,000 za kitanzania!
oohhooo! subiri sasa nikupe vihendo!
nikiwa nimekula na modo kali nyeusi tiii, na Tshirt moja hatari sana nyeupe peeee! mkono wa kushoTo nikiwa nimepiga saa moja kali sana aina ya ROLEX!
aseee nikipita kitaa wake kwa waume wote macho kwangu kwa jinsi nilivyopigilia pamba!
asee wazee jitahin muwe mnatundika viwalo kama mimi, sio mtu unavaa nguo zina rangi rangi kama kachumbari! mwisho wa siku watu watakuita Mr.kachumbari flevaa!
mimi ndimi comrade a.k.a. MR. BLACK & WHITE.
Comrade, mtaani wanapenda kuniita mzee wa black and white!
eebanaeE! sijisifii, lakini kwa upande wa kutundika mavazi mwilini sipo nyuma, asee napenda kupiga nguo black and white! kama hapa sasa nimepiga raba kaliiii aina ya NIKE nyeupe, yenye thamani ya 80,000 za kitanzania!
oohhooo! subiri sasa nikupe vihendo!
nikiwa nimekula na modo kali nyeusi tiii, na Tshirt moja hatari sana nyeupe peeee! mkono wa kushoTo nikiwa nimepiga saa moja kali sana aina ya ROLEX!
aseee nikipita kitaa wake kwa waume wote macho kwangu kwa jinsi nilivyopigilia pamba!
asee wazee jitahin muwe mnatundika viwalo kama mimi, sio mtu unavaa nguo zina rangi rangi kama kachumbari! mwisho wa siku watu watakuita Mr.kachumbari flevaa!
mimi ndimi comrade a.k.a. MR. BLACK & WHITE.