Ninapenda kufahamu kwa mwaka nchi ya Tanzania inatumia tani ngapi?

Ninapenda kufahamu kwa mwaka nchi ya Tanzania inatumia tani ngapi?

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Ninapenda kufahamu kwa mwaka nchi ya Tanzania inatumia tani ngapi?. Je viwanda vya ndani vinazalisha tani ngapi kwa mwaka?. Je gap sugar kwa mwaka ni tani ngapi?. Kuna mantinki gani gani Mhe. Waziri wa Kilimo kuipa Kampuni binafsi kibali cha kuleta tani 410,000?. Je sukari itakayozalishwa na viwanda vya ndani vitauzwa wapi kama kibali cha tani 410,000 kimetolewa kwa kampuni binafsi?. Tuna sera ya kulinda viwanda vyetu Je kwa utaratibu huo tunalinda viwanda vyetu?. Je sheria aliyopeleka Waziri Bungeni ya kubadilisha sera ya sukari haitafanya viwanda vyetu vya ndani kufa?.
 
Ninapenda kufahamu kwa mwaka nchi ya Tanzania inatumia tani ngapi?. Je viwanda vya ndani vinazalisha tani ngapi kwa mwaka?. Je gap sugar kwa mwaka ni tani ngapi?. Kuna mantinki gani gani Mhe. Waziri wa Kilimo kuipa Kampuni binafsi kibali cha kuleta tani 410,000?. Je sukari itakayozalishwa na viwanda vya ndani vitauzwa wapi kama kibali cha tani 410,000 kimetolewa kwa kampuni binafsi?. Tuna sera ya kulinda viwanda vyetu Je kwa utaratibu huo tunalinda viwanda vyetu?. Je sheria aliyopeleka Waziri Bungeni ya kubadilisha sera ya sukari haitafanya viwanda vyetu vya ndani kufa?.
Subiri waje na data utashangaa...pia wenye viwanda wanawachezesha setikali watakavyo.....Jiwe alidhani kuongeza viwanda ndani ingesaidia.....waliwalinda wenye viwanda ila wanacheza na usalama nchi......
 
Soko lijazwe Sukari scarcity ndio inaongeza bei na kutufanya tushindwe kunywa Chai kwa ufasaha.
 
Hiyo 'gap' mmeishikilia namba hiyo hiyo tangu miezi ya Mwanzo ya utawala wa Magufuli, hamjui watu na viwanda vinavyo tumia sukari vinaongezeka kila uchwao.
 
Back
Top Bottom