N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
Kweli mkuu mimi na malaria kila mwezi.....
Tafuta mafuta ya kupaka kwenye maeneo wazi ya mwili hawatakupata,nenda mlimani city pharmacy kama upo Dar wanayo,inasaidia sana hawatui kabisa kwenye ngozi.