Kweli mkuu mimi na malaria kila mwezi.....
Mkuu dawa yake ndogo sana. Jipake mkojo wa mbuzi. Unakumbuka kule kijijiNI watu wengine hua wanalala na mbuzi ndani ya nyumba, hasa wasukuma,wabena, wahehe na warangi. Utakuta ukilala kwenye nyumba wanamolala mbuzi huumwi na mbu hata kama huna net. Ile harufu ya mkojo wa mbuzi ni NATURAL REPELLENT YA MBU
Nami mnisaidie kisayansi kwanini mbu huvutiwa sana kwenye masikio ya binadamu yaani arukapo basi lazima apitie kwenye sikio na kujiliza kabla ya kuamua kutua sehemu nyingine ya mwili.Kuna uhusiano gani wa harufu ndani ya sikio na mbu?
Mbu wanashambulia zaidi mtu mlevi na Mama mwenye mimba. Hiyo inatokana na damu zao kuwa na virutubisho vinavyosaidia mayai yao kurutubika vizuri, kwa hiyo kiasili huwa wanao uwezo wa kuwatambua watu wa namna hiyo.
Alaaaa.... Kumbe eeh