secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
🤣😂 Wala usiache kumpelekea moto.Moto uko pale pale 😂 uzuri aliyenisababishia ban namjua na bado nazid kumpelekea moto huko huko alipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣😂 Wala usiache kumpelekea moto.Moto uko pale pale 😂 uzuri aliyenisababishia ban namjua na bado nazid kumpelekea moto huko huko alipo
DuuhKuna mambo mengi hapo ya ku consider
Kwanza alikuwa anatumia vyeti feki hiyo ni laana, pili hiyo kazi aliipata kwa kuvua chupi na siku zote unapokuwa umepitia shortcuts maisha yako yatakuwa ya majivuno na kutotaka mahusiano mazuri na watu.
Kama mahusiano na watu hauna utapata je tena michongo? Kwa mwanamke akijiona ana muonekano wenye kuvutia ataingia kwenye kujiuza tu.
Ni mtazamo Wangu lakini 😀😀😀Duuh
Mkuu huyo sio Mimi najua utakuwa umechanganya mafile kwa swali lako hiliNi wewe au wamedukua account yako.. una mtoto wako wa kumzaa.. bado una mpango wa kupata watoto/mtoto..
Kila binaadam, wa Kike na wa kiume wafundishwe/wakuzwe katika mlengo wa kuanza kujitegemea na kujipambania kiuchumi/kimaisha afikapo umri wa miaka 18.Ndoa Ikija upo 30 basi binti awe unaweza kujisimamia sio kwenda kumtegemea mwanaume
Uko sahihi.Nimesikitishwa na mambo Mawili
1.Hali ya uchumi uliyopitia
2.Suala La kujiuza, But Why?
Sijui kwanini wanawake mind set zenu zimekaa hivi, yaani ukipata changamoto kidogo akili inawaza kujiuza tuu!
Kwanini hukuwaza hata kupika vitumbua hapo mtaani mtaji wa 20,000/= tuu ama kibiashara sokoni why kujiuza!
For real,
Hizi ni fedheha,. 42 ni parefu sana aisee
Umenikumbusha mbali saana.Habari wana Jf kwa ujumla.
Sina muda mrefu tangu nijiunge na jumuia hii chini ya kaka Max.
Ni hivi, napitia msongo mkali sana wa mawazo yaani nikisema ni mkali namaanisha.
First of all nilikuwa muajiriwa serikalini na likapita suala la vyeti feki hapo nilikuwa natumia cheti cha mtu na kazi ikawa ndio basi.
Sababu nilipoteza wazazi ikabidi ile akiba niliyojiwekea kipindi nafanya kazi niitumie kwa ajili ya kumsomesha mdogo wangu ambae niliachiwa na wazazi pamoja na kununua kiwanja tu. Hali ikazidi kuwa mbaya zaidi, ikabidi niingie kwenye kazi ya kujiuza.
Nilichokuwa nafanya ni kumuandalia mdogo wangu sare za shule na pesa ya matumizi usiku ili hata kama nitarudi asubuhi au kama sitarudi kabisa basi apate kujiandaa na kwenda shule (shule na nyumbani ni kama km 1 tu) mwenyewe.
Nilifanya hiyo kazi kwa miaka 6, nikapata pesa na kuanza ujenzi wa nyumba yangu ya kuishi pamoja na mdogo wangu.
Shida imeanza tena, nyumba haijakamilika na pesa zote nimemaliza na mdogo wangu mwaka huu anaingia kidato cha 3.
Sitaki tena kurudi kule nilipotoka (kujiuza). Nahitaji mdogo wangu akue bila kujua nafanya nini. Pia nahitaji kumalizia nyumba
Kama kuna mtu ana uhitaji wa mtu wa kufanya kazi naomba nipewe ajira.
1. Nina diploma ya Education niliyoipata pale UDSM kabla sijatumbuliwa.
2. Nina uzoefu katika kulea watoto na pia ninajua sana upishi (nilisomea hotel management kabla sijaenda kusomea ualimu), Umri wangu ni miaka 42 na niko Morogoro.
Asanteni.
Kwa wasioelewa msongo huo upoje upoje wasome humuNi hivi, napitia msongo mkali sana wa mawazo yaani nikisema ni mkali namaanisha.
Miss Natafuta wewe kiboko ndio maana nikakwambia unapenda sana muwaDada, ulikua unajiuza, na kwa bandiko lako hili, muda si mrefu utarudi katika kujiuza hata kama hupendi. Maana hakuna namna, hakuna mwanaume atakutafuta akusaidie kazi tu peke yake behind atakua na interest zake na hiyo ni kwa sababu umewapa past yako.
Utapigwa ban bure.alosema anajiuza ni Mimi?ujue nakuheshimu wewe dogo ila usiende kunivunjia heshima.Miss Natafuta wewe kiboko ndio maana nikakwambia unapenda sana muwa
Tuliza munkaali alieandika uzi si pacha wako kwenye multiple ID kwani mboni umefura hivyo unataka muwa?Utapigwa ban bure.alosema anajiuza ni Mimi?ujue nakuheshimu wewe dogo ila usiende kunivunjia heshima.
Miss NatafutaHali ikazidi kuwa mbaya zaidi, ikabidi niingie kwenye kazi ya kujiuza.
Nilifanya hiyo kazi kwa miaka 6,
42 -6 = 36Umri wangu ni miaka 42 na niko Morogoro.
Sasa baada ya kuchomolewa ualimu kwanini hukutumia taaluma ya hotel kufungua goli la mamalishe au huko hotel management wanafundisha namna nyingine ya kuwapikia na kuwalisha wateja ndio ukatumbukia kwenye biashara ya kula miwa mikubwa twende midogo twende mradi hela inaingia miaka 6 miwa na wewe wewe na miwa haina kupumzika?2. Nina uzoefu katika kulea watoto na pia ninajua sana upishi (nilisomea hotel management kabla sijaenda kusomea ualimu)