Ninapokuwa na mwenza wangu kitandani, mawazo na hisia huwa zinapotea, nifanyeje?

Leo kwako na kesho kwako ila sio milele,,utapona mwanangu ni ishu ndogo tuu,,Mungu atakusaidia
 
Kuna dawa za flani za kunywa za kimasai ni nzuri sana wewe uko WAP cz Mimi nilizipata maeneo flani hapa arusha kwa mama yeyo
 
Hilo ni tatizo la kujichua kwa muda mrefu.nakushauri uache kabisa hiyo tabia.usipende kukaa pekeyako.
 
I suggest the method, mimi ni mmoja wa waliokuwa wahanga wa hili tatizo ila kama huna tatizo lolote la kiafya ukitumia hii dawa lazima u do hata kama una hofu tani 100 unachotakiwa ni ku insert tu kunako upenyo.
 
I suggest the method, mimi ni mmoja wa waliokuwa wahanga wa hili tatizo ila kama huna tatizo lolote la kiafya ukitumia hii dawa lazima u do hata kama una hofu tani 100 unachotakiwa ni ku insert tu kunako upenyo.
Fafanua
 
Unameza kidonge kimoja saa moja kabla ya tendo ikigoma hiyo usisite kuamini uchawi upo.
 
Ila kutokana na maoni yenu nadhani ni hofu tu na mambo mengine.... Hizi dawa za kizungu mmmmh.! Km kuna solution nyingne plllzz nipeni nami ntafanyia kazi
Bad enough hakuna dawa ya kutibu tatizo lako la hofu si miti shamba wala ya kizungu.
 

Umri wako tu unakuhukumu, acha zinaa.

Binafsi sitoeagi ushauri kwa wazinzi hasa watoto.

Stoooooooooooooooooooppppppppppppp!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…