Ninasomea degree ya automobile engineering (uhandisi wa magari)

Ninasomea degree ya automobile engineering (uhandisi wa magari)

unacheka unamana gani

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
472
Reaction score
476
Hello everyone! Ninasomea uhandisi magari, ni wapi kwa hapa Dar naweza kufanya field au kujitolea?

Nina maana ya workshop ya magari au yard! Ahsanteni!

Ni mdogo wangu[emoji115][emoji115] ana tabia njema na ni mchapakazi.
 
Hello everyone! Ninasomea uhandisi magari, ni wapi kwa hapa Dar naweza kufanya field au kujitolea?

Nina maana ya workshop ya magari au yard! Ahsanteni!

Ni mdogo wangu[emoji115][emoji115] ana tabia njema na ni mchapakazi.
Tafadhali na mm nina mdogo wangu anapenda hiyo degree, ni chuo gani kinaitoa hiyo program ?
 
Hello everyone! Ninasomea uhandisi magari, ni wapi kwa hapa Dar naweza kufanya field au kujitolea?

Nina maana ya workshop ya magari au yard! Ahsanteni!

Ni mdogo wangu[emoji115][emoji115] ana tabia njema na ni mchapakazi.
Kwenye hizi fani za ufundi nakushauri nenda tazara kuna kitu utajifunza kule (spana ikae mkononi)

Mm nipo melini na napata sifa nzuri kwenye kupiga spana na troubleshooting mbalimbali ila hii kitu basic yake niliipata tazara workshop

Najua wanafunzi wengi wanapazarau tazara ila belive me utapata vitu vingi vitakavyokuja kukusaidia huko mbeleni
 
Back
Top Bottom