Ninasumbuliwa na maumivu ya kiuno

Ninasumbuliwa na maumivu ya kiuno

Lapa

Member
Joined
May 9, 2024
Posts
20
Reaction score
40
Habari wana JF poleni na majukumu.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 naombeni msaada ninasumbuliwa na maumivu ya kiuno sana mpaka kuna muda kukaa siwezi nikisimama dakika kumi siwezi nakulala nako pia kunamda nikipengele naombeni msaada wenu, nimejaribu kutumia dawa mbalimbali za asili hali bado ipo vilevile mpaka imefikia mahala hamu hata ya tendo la ndoa sina kabisa.

Sababu ya tatizo nahisi nikazi ninayofanya yakubeba vitu vizito nakuchimba mashimo nimejitahidi kutafta kazi nyingine nimekosa ila kwassa naomba msaada wanamna ya kutatua hili tatizo lakiuno natanguliza sana- shukra nizangu asanteni.
 
Huu ugonjwa mimi unanisumbua sana kwa sasa. Kazi yangu ni uvuvi na wala siyo ya kubeba vitu vizito. Nimeshatumia dawa za hospitalini mpaka tosha. Sasa hivi nipo napambana natumia dawa za asiri. Kazi imekuwa ngumu sana na kuna kitu kinanipa wakati mgumu sana. Kwenye uume wangu vinatoka vitu vyeupe kama makamasi na havina harufu yoyote. Nimepima magonjwa ya zinaa lakini matokeo ni hasi. UTI nimepima hakuna. Nimepigwa picha ya mionzi naambiwa mifupa iko sawa. Mpaka najiuliza hivi nimerogwa ama. Kukaa hakuna shida wala kulala na uchuchumaa. Shida ni kusimama na kutembea. Toka pasaka nasumbuliwa na huu ugonjwa
 
Habari wana JF poleni na majukumu.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 naombeni msaada ninasumbuliwa na maumivu ya kiuno sana mpaka kuna muda kukaa siwezi nikisimama dakika kumi siwezi nakulala nako pia kunamda nikipengele naombeni msaada wenu, nimejaribu kutumia dawa mbalimbali za asili hali bado ipo vilevile mpaka imefikia mahala hamu hata ya tendo la ndoa sina kabisa.

Sababu ya tatizo nahisi nikazi ninayofanya yakubeba vitu vizito nakuchimba mashimo nimejitahidi kutafta kazi nyingine nimekosa ila kwassa naomba msaada wanamna ya kutatua hili tatizo lakiuno natanguliza sana- shukra nizangu asanteni.
Pole sana, jaribu kutumia dawa lishe(UG-CARE PLUS AU CELLIFEZ STEMCELL) naona wengi wenye matatizo ya maumivu ya viuno na migongo zinawasaidia.
 
Huu ugonjwa mimi unanisumbua sana kwa sasa. Kazi yangu ni uvuvi na wala siyo ya kubeba vitu vizito. Nimeshatumia dawa za hospitalini mpaka tosha. Sasa hivi nipo napambana natumia dawa za asiri. Kazi imekuwa ngumu sana na kuna kitu kinanipa wakati mgumu sana. Kwenye uume wangu vinatoka vitu vyeupe kama makamasi na havina harufu yoyote. Nimepima magonjwa ya zinaa lakini matokeo ni hasi. UTI nimepima hakuna. Nimepigwa picha ya mionzi naambiwa mifupa iko sawa. Mpaka najiuliza hivi nimerogwa ama. Kukaa hakuna shida wala kulala na uchuchumaa. Shida ni kusimama na kutembea. Toka pasaka nasumbuliwa na huu ugonjwa
Hizo zinazotoka kwenye uume hazihusiani na kiuno kuuma
 
Habari wana JF poleni na majukumu.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 naombeni msaada ninasumbuliwa na maumivu ya kiuno sana mpaka kuna muda kukaa siwezi nikisimama dakika kumi siwezi nakulala nako pia kunamda nikipengele naombeni msaada wenu, nimejaribu kutumia dawa mbalimbali za asili hali bado ipo vilevile mpaka imefikia mahala hamu hata ya tendo la ndoa sina kabisa.

Sababu ya tatizo nahisi nikazi ninayofanya yakubeba vitu vizito nakuchimba mashimo nimejitahidi kutafta kazi nyingine nimekosa ila kwassa naomba msaada wanamna ya kutatua hili tatizo lakiuno natanguliza sana- shukra nizangu asanteni.
Pingili za mgongo zinapata tension unapobeba mizigo!!

Una mke!!?unapiga show!!

Mazoezi ya yoga yanaweza nyoosha pingili jaribu kuwaona wataalam,inawezekana disc zimecheza !
 
Duu pole sana ngoja madaktari wa jf wakuje
Herbalist Dr MziziMkavu ,Dr am 4 real PhD
Kwanza nianze na kumpa pole kijana mwenzetu..
Amesema tatizo lilianzia sababu ya kufanya kazi nzito nzito..yes Ni moja ya visababishi hapo atakua strains & sprains zimepata shida hili Ni SoMo pana Sanaa..

Hapa tutapapasa papasa moja aache kufanya izo kazi ngumu na nzito pili atafute professional help ili kuweza kujua how deep tatizo limefikia
Kwa Sasa aanze na PROFESSIONAL HELP atafute hospital afanyiwe vipimo then ndio ijulikane pa kuanzia

Screenshot_20240610-101944.png
 
Back
Top Bottom