Mwigamba son
Member
- Jan 11, 2012
- 27
- 6
wana JF kama kuna mtu anamfahamu mahali ambapo naweza kumpata daktali bingwa wa ngozi (dermatologist) anitaarifu maana fungus zinatishia maisha yangu . Ni mwaka sasa nimekuwa nikienda hospitali kupimwa na kupewa dawa lakini bado fungus zimeendelea kusambaa. zaidi ya hapo nimechomwa sindano kadhaa lakini tatizo bado.
naombeni mawazo yenu nifanyeje?
kaka nenda pale tegeta kwa masister,mi juzi nimempeleka ndugu yangu alikuwa na tatizo la kama lako ,akapimwa akaonekana ni fungusi akapewa dawa,akachomwa sindamo, vidonge vya kumeza na dawa za kupaka naona anaendelea vizuri,na huduma yao ni nzurh sana.kama upo dar itakuwa rahisi,nenda tegeta,ukiteremka pale ulizia m2 yeyote ilipo hospitali ya masister,watakuelekeza ni kama mita 150.toka hapo stand.
vipimo kutoka bugando hospital .tinea manuum,tinea unguiuum,& tinea pedis . dawa nilizopewa ni ketokonazole,fluconazole,terbenafine,grisiofluvin, v2 plus,whitefield,sonaderm,hydrocortisone,sulphur,....usp injection yellowish in colour 7 enjections for a week dose, ipo sehemu za juu za vidole vyote miguuni na mikononi na sasa zinatafuna kucha na kuenea kwenye viganja na sehemu za unyayo hali zikitoa majimaji na kuwasha vipo kwa mfano wa vijiduara shukrani Muhubiri