Ninasumbuliwa na (tinea fungal infection) dawa za hospitali zimeshindwa kunitibu nisaidieni

Ninasumbuliwa na (tinea fungal infection) dawa za hospitali zimeshindwa kunitibu nisaidieni

Fungus zako zipo miguuni na mikononi, unafanya kazi gani. Coz kama unafanya kazi za majimaji hata utibu still utaendelea kuapata tatizo. Fungus ili irespond vizuri lazima uepuke majimaji na viatu uvae na soksi za cotton ili kusudi ziwe zinaabsorb jasho. Pia kabla ya kuvaa viatu paka miguu poda na antifungal cream. Kama mazingila unayotembelea hatuhitaji viatu then most of the time vaa open shoes.
Mikononi paka dawa kama ulivyoelekezwa na Dr lakini mida ile ambayo huitaji kupaka dawa paka mafuta ya mgando itakusaidia. Lakini ni muhimu sana kuepukana sana na majimaji coz ubichi ni chanzo cha fungus.
Pale Muhimbili yupo Dr Shemwela na Dr Mgonda hawa ni dermatologists watakusaidia. Sikushauri uende dispensary coz huko utawakuta Amo na Co si dhani kama watakuwa msaada sana. Nenda hospitali, Bungando pazuri ila ulizia kama kuna specialist wa ngozi. Pole sana mkuu
 
kuna Dr, alikuwa Muhimbili miaka ya tisini inasemekana ana clinik yake pale Taki bovu Dsm. sikumbuki vizuri jina lake (may be Dr. Masange not sure) ukiweza kumpata huyo, nina hakika tatizo lako litakwisha. atakuandikia formular kutokana na tatizo lako utaenda mooners watakutengenezea dawa. niliwahi peleka shemeji yangu alikuwa na mba kichwani na hakuota nywele for years, alipona na sasa ana nywele kichwani za kutosha.

Kuna mwingine nilimwelekeza akamuone alikuwa na Fungus sugu
huyo dr anaitwa professor masenga yupo kcmc nimesoma na mwanae..
 
Bila shaka ushauri utazingatiwa mimi pia nina tatizo kama hilo nitajitahidi kuwatafuta mabigwa hao wa magonjwa ya ngozi. lakini sijui kamgomo kameisha au bado kanaendelea kiana. -
 
Ndugu ukiona unatumia dawa huponi. ujue unapata maambukizi mapya, kila wakati au kila siku. Fungus wanapaswa kupona ndani ya wiki 1.

Mimi nilisumbuliwa takribani miaka 5 na hao wadudu. Na nimeshamaliza hospitali zote mpka nje ya nchi. Nilichoma pesa mpaka South Afrika. Mpaka kuna kipindi niliamini watu wamenitupia uchawi. Nilijaribu kila dawa ninayoisikia na kuamini.

Ndugu yangu, fungus dawa yake ni usafi. Ukiwa msafi, fungus wanapaswa kukimbia, hata kama hutumii dawa. Maana watashindwa kuzaliana.

Kuna daktari mmoja alinipa mfano, akaniambia "huwezi kupulizia dawa ya kufukuza mbu chumbani wakati mlango na madirisha iko wazi". Ni sawa na kujaza maji kwenye ndoo iliyotoboka.

Jaribu haya yafuatayo: alafu utaniambia.

1) Hakikisha unaoga mara 2 kwa siku, au zaidi(kwa kutumia medicated soap) na maji safi, zingatia usafi wa ndoo yako ya kuogea, na usafi wa bafu pia.

2) Usirudie nguo za ndani. Fua nguo zako za ndani na maji ya moto na kuzianika juani. Usirudie taulo, na suruali pia. Maana hao wadudu watakuwa wameshatapakaa kwenye nguo zako zote hata mashuka ya kulalia, na inawezekana wameshakuwa sugu. Hakikisha nguo zote unafua mara kwa mara tena na maji ya moto.

3)Jitahidi unakauka vizuri baada ya kuoga. Jikaushe na feni ikiwezekana.

4)Epuka sehemu zenye joto. Fungus wanazaliana sana kwenye unyevu unyevu. Hasa sehemu zinatoka jasho jingi.

5)Usitumie vyakula vyenye sukari, mfano soda, juicy, nk. Vyakula hivyo vinafanya uongeze sukari nyingi mwilini. Jasho lenye kiwango kikubwa cha sukari ni chakula kikubwa cha fungus.

6) Usivae nguo za kubana. Ambazo haziruhusu hewa kupita kirahisi. Hakikisha unavaa nguo za cotton.
 
Jaman pole sana ndugu yetu kwa kusumbuliwa na fungus,kama ametumia dawa hizo zote na ameshapima akaonekana na fungus,kwa upande wangu nafikiri either hajafuata taratibu za matibabu au that was a wrong diagnosis,maana vishiling havionekan kwenye fungus tu hata nummular eczema inaweza kuonekana hivyo na pia siyo fungus tu inashambulia kucha pia hata nail psoriasis inaweza kuwa na the same features,mi naomba ni pm tuwasiliane zaid na mi nione kama ndo mim nimekutana na mgonjwa na namna hi nitafanyaje! Nipo kcmc.
 
cellezion ngoja nijaribu ndugu yangu hawa wadudu wananisumbua sana mimi mwenyewe wangu wapo sehemu ya uso nikitumia cream wanapotea nikiacha kutumia wanarudi ebu naomba mnipe ushauri ndugu zangu najua humu mpo madaktari endapo nitapata tiba ntashukuru xna wana jf
 
Last edited by a moderator:
collezione; baada ya kufanya hivyo(usafi) matokeo yalikuwaje kwa upande wako baada ya kuangaika takribani miaka mitano
 
Last edited by a moderator:
Ok! Usijal namba yangu 0715720276.
 
Jaribu kwenda kwa Dr. Mwaka wa Ilala Bungoni, anatumia herbs kutibu wagonjwa wake
 
Safi sana pia!
Ndugu ukiona unatumia dawa huponi. ujue unapata maambukizi mapya, kila wakati au kila siku. Fungus wanapaswa kupona ndani ya wiki 1.

Mimi nilisumbuliwa takribani miaka 5 na hao wadudu. Na nimeshamaliza hospitali zote mpka nje ya nchi. Nilichoma pesa mpaka South Afrika. Mpaka kuna kipindi niliamini watu wamenitupia uchawi. Nilijaribu kila dawa ninayoisikia na kuamini.

Ndugu yangu, fungus dawa yake ni usafi. Ukiwa msafi, fungus wanapaswa kukimbia, hata kama hutumii dawa. Maana watashindwa kuzaliana.

Kuna daktari mmoja alinipa mfano, akaniambia "huwezi kupulizia dawa ya kufukuza mbu chumbani wakati mlango na madirisha iko wazi". Ni sawa na kujaza maji kwenye ndoo iliyotoboka.

Jaribu haya yafuatayo: alafu utaniambia.

1) Hakikisha unaoga mara 2 kwa siku, au zaidi(kwa kutumia medicated soap) na maji safi, zingatia usafi wa ndoo yako ya kuogea, na usafi wa bafu pia.

2) Usirudie nguo za ndani. Fua nguo zako za ndani na maji ya moto na kuzianika juani. Usirudie taulo, na suruali pia. Maana hao wadudu watakuwa wameshatapakaa kwenye nguo zako zote hata mashuka ya kulalia, na inawezekana wameshakuwa sugu. Hakikisha nguo zote unafua mara kwa mara tena na maji ya moto.

3)Jitahidi unakauka vizuri baada ya kuoga. Jikaushe na feni ikiwezekana.

4)Epuka sehemu zenye joto. Fungus wanazaliana sana kwenye unyevu unyevu. Hasa sehemu zinatoka jasho jingi.

5)Usitumie vyakula vyenye sukari, mfano soda, juicy, nk. Vyakula hivyo vinafanya uongeze sukari nyingi mwilini. Jasho lenye kiwango kikubwa cha sukari ni chakula kikubwa cha fungus.

6) Usivae nguo za kubana. Ambazo haziruhusu hewa kupita kirahisi. Hakikisha unavaa nguo za cotton.
 
Ndugu ukiona unatumia dawa huponi. ujue unapata maambukizi mapya, kila wakati au kila siku. Fungus wanapaswa kupona ndani ya wiki 1.

Mimi nilisumbuliwa takribani miaka 5 na hao wadudu. Na nimeshamaliza hospitali zote mpka nje ya nchi. Nilichoma pesa mpaka South Afrika. Mpaka kuna kipindi niliamini watu wamenitupia uchawi. Nilijaribu kila dawa ninayoisikia na kuamini.

Ndugu yangu, fungus dawa yake ni usafi. Ukiwa msafi, fungus wanapaswa kukimbia, hata kama hutumii dawa. Maana watashindwa kuzaliana.

Kuna daktari mmoja alinipa mfano, akaniambia "huwezi kupulizia dawa ya kufukuza mbu chumbani wakati mlango na madirisha iko wazi". Ni sawa na kujaza maji kwenye ndoo iliyotoboka.

Jaribu haya yafuatayo: alafu utaniambia.

1) Hakikisha unaoga mara 2 kwa siku, au zaidi(kwa kutumia medicated soap) na maji safi, zingatia usafi wa ndoo yako ya kuogea, na usafi wa bafu pia.

2) Usirudie nguo za ndani. Fua nguo zako za ndani na maji ya moto na kuzianika juani. Usirudie taulo, na suruali pia. Maana hao wadudu watakuwa wameshatapakaa kwenye nguo zako zote hata mashuka ya kulalia, na inawezekana wameshakuwa sugu. Hakikisha nguo zote unafua mara kwa mara tena na maji ya moto.

3)Jitahidi unakauka vizuri baada ya kuoga. Jikaushe na feni ikiwezekana.

4)Epuka sehemu zenye joto. Fungus wanazaliana sana kwenye unyevu unyevu. Hasa sehemu zinatoka jasho jingi.

5)Usitumie vyakula vyenye sukari, mfano soda, juicy, nk. Vyakula hivyo vinafanya uongeze sukari nyingi mwilini. Jasho lenye kiwango kikubwa cha sukari ni chakula kikubwa cha fungus.

6) Usivae nguo za kubana. Ambazo haziruhusu hewa kupita kirahisi. Hakikisha unavaa nguo za cotton.

Ahsante kwa ushauri. Lakini hayo masharti. Hata mimi ninatatizo hilo ninaimani nitapata Dawa yake one day.
 
Back
Top Bottom