Wewe chuki na wivu wa kike ndo vinakupelekesha una lolote, Umebaki kugeuka mtabiri umekuwa Mwamposa? Umeshindwa kutabiri yanayotokea kwenye timu yako umebaki kuwa Kama fisi anayemfata binadamu akifikili mkono wake utakatika ajipatie mlo wake? Ujinga ni mzigo kweliPamoja na usomi wa Rais wa utopolo,lakini nimegundua anafanya vitu kwa nguvu ya pesa na uswahili mwingi ambao sio muda mrefu utawagawa sana wachezaji.
Zipo dalili za wazi kuwa kuwa watu hao wataondoka ama kwa aibu ama kwa hiari kabla ya msimu kwisha.
Manara karma itakuhukumu,Morrison gundu litakuandama kwa kuwasumbua waliokulea kama yai na bado huwaheshimu.Sasa umeingia kwenye mtego na utanaswa tu
Wewe ni Manara?Wewe chuki na wivu wa kike ndo vinakupelekesha una lolote, Umebaki kugeuka mtabiri umekuwa Mwamposa? Umeshindwa kutabiri yanayotokea kwenye timu yako umebaki kuwa Kama fisi anayemfata binadamu akifikili mkono wake utakatika ajipatie mlo wake? Ujinga ni mzigo kweli
Ushabiki wa Kipumbavu namna hii tumeuchoka JF.Pamoja na usomi wa Rais wa utopolo,lakini nimegundua anafanya vitu kwa nguvu ya pesa na uswahili mwingi ambao sio muda mrefu utawagawa sana wachezaji.
Zipo dalili za wazi kuwa kuwa watu hao wataondoka ama kwa aibu ama kwa hiari kabla ya msimu kwisha.
Manara karma itakuhukumu,Morrison gundu litakuandama kwa kuwasumbua waliokulea kama yai na bado huwaheshimu.Sasa umeingia kwenye mtego na utanaswa tu
Naomba uijie dawa ya constipation kwani mavi yanakusumbuaPamoja na usomi wa Rais wa utopolo,lakini nimegundua anafanya vitu kwa nguvu ya pesa na uswahili mwingi ambao sio muda mrefu utawagawa sana wachezaji.
Zipo dalili za wazi kuwa kuwa watu hao wataondoka ama kwa aibu ama kwa hiari kabla ya msimu kwisha.
Manara karma itakuhukumu,Morrison gundu litakuandama kwa kuwasumbua waliokulea kama yai na bado huwaheshimu.Sasa umeingia kwenye mtego na utanaswa tu
Unapozungumzia wivu wa kike usisahau mama yako pia ni mwanamkeWewe chuki na wivu wa kike ndo vinakupelekesha una lolote, Umebaki kugeuka mtabiri umekuwa Mwamposa? Umeshindwa kutabiri yanayotokea kwenye timu yako umebaki kuwa Kama fisi anayemfata binadamu akifikili mkono wake utakatika ajipatie mlo wake? Ujinga ni mzigo kweli
Hebu panua kidogo fikra zako ziende zaidi ya mavi fcNaomba uijie dawa ya constipation kwani mavi yanakusumbua
Nawaandikia washabiki wa ile timu ambayo msemaji wao aliwatambua kama wapumbavu wote isipokuwa watu wawili tu.Ushabiki wa Kipumbavu namna hii tumeuchoka JF.
Vipi kuhusu Moo na Barbara! Na wenyewe wataondoka lini? Maana na wenyewe wanaiendesha timu yenu kijanja janja tu!Pamoja na usomi wa Rais wa utopolo, nimegundua anafanya vitu kwa nguvu ya pesa na uswahili mwingi ambao sio muda mrefu utawagawa sana wachezaji.
Zipo dalili za wazi kuwa kuwa watu hao wataondoka ama kwa aibu ama kwa hiari kabla ya msimu kwisha.
Manara karma itakuhukumu, Morrison gundu litakuandama kwa kuwasumbua waliokulea kama yai na bado huwaheshimu. Sasa umeingia kwenye mtego na utanaswa tu
Lipeni madeni ya wachezaji vinginevyo tulieni dawa iingie.Ukitikisika tu sindano itakatikiaVipi kuhusu Moo na Barbara! Na wenyewe wataondoka lini? Maana na wenyewe wanaiendesha timu yenu kijanja janja tu!
Wakiulizwa zilipo bilioni 20, wanawatuma nyinyi chawa wao kuja kutukana tukana hovyo humu jukwaani.