Pamoja na usomi wa Rais wa utopolo, nimegundua anafanya vitu kwa nguvu ya pesa na uswahili mwingi ambao sio muda mrefu utawagawa sana wachezaji.
Zipo dalili za wazi kuwa kuwa watu hao wataondoka ama kwa aibu ama kwa hiari kabla ya msimu kwisha.
Manara karma itakuhukumu, Morrison gundu litakuandama kwa kuwasumbua waliokulea kama yai na bado huwaheshimu. Sasa umeingia kwenye mtego na utanaswa tu
Zipo dalili za wazi kuwa kuwa watu hao wataondoka ama kwa aibu ama kwa hiari kabla ya msimu kwisha.
Manara karma itakuhukumu, Morrison gundu litakuandama kwa kuwasumbua waliokulea kama yai na bado huwaheshimu. Sasa umeingia kwenye mtego na utanaswa tu