Ubungo Mataa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2018
- 411
- 725
Heshima kwenu wakuu.
Ninatafuta fundi simu (mwenye ofisi).
Nataka nijifunze kutengeneza simu (smart android na viswaswadu).
Malengo yangu ni kufungua ofisi ya kuuza simu na vifaa vyote vya simu. Hivyo nataman sana kujua kutengeneza simu ili kama nitakaa mim ofisin nisiwe nakaa bure.
Fundi nitamlipa vizur sana. Muda nitakaopata wa kujifunza ni jion kuanzia saa kumi na kuendlea.
Mahali: Dsm Ubungo.
Ninatafuta fundi simu (mwenye ofisi).
Nataka nijifunze kutengeneza simu (smart android na viswaswadu).
Malengo yangu ni kufungua ofisi ya kuuza simu na vifaa vyote vya simu. Hivyo nataman sana kujua kutengeneza simu ili kama nitakaa mim ofisin nisiwe nakaa bure.
Fundi nitamlipa vizur sana. Muda nitakaopata wa kujifunza ni jion kuanzia saa kumi na kuendlea.
Mahali: Dsm Ubungo.