Ninatafuta kazi ya Udereva

Ninatafuta kazi ya Udereva

rabson john

Member
Joined
Jan 22, 2020
Posts
27
Reaction score
10
Naitwa RABSON JOHN
Naishi DAR ER SALAAM MABIBO
NINA MIAKA 27

Mimi ni kijana ambae nina fani ya Udereva.

Pia nina uzoefu wa Sales & Marketing nimewahi fanya kazi na makampuni mengi hapa Dar er Salaam

Nina leseni ya udereva yenye madaraja haya.

A.A2.B.C1.C2.C3.D.E pia napenda kuwaomba kazi ya udereva kumuendesha mtu binafsi au magari yoyote ya kampuni nita fanya kazi kwa usahihi maana udereva upo ndani ya moyo wangu.

0627908218

Au kazi yoyote itakayo patikana nitaifanya kwa moyo mmoja

KAZI NITAFANYA POPOTE TANZANIA ATA NJE TANZANIA NIPO TAYARI

ASANTE
 
Back
Top Bottom