Ninatafuta marafiki

huu si ndio ubaguzi wenyewe?!!!
 
Hii ndio ilikuwa JF ya zamani.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sisi yetu si unajua makutano yetu sasa chumba kimoja kila kitu ndani tutakutania wapi
Sisi tufanye ile yetu, ila hakuna kukutania kwa mtu...

Maana wengine tuliopanga chumba kimoja siyo rahisi kuwaweka wote pamoja kwenye chumba.
 
Hii nzuri lakin iwe ya pombe tu,vyakula vipo tu cha umuhimu pombe[emoji482] [emoji482]
 
Tuanzie hapa we unakaa kwa mtogole au mbezi..
 
Mwisho wa reli (Tanganyika) mtakuja, au mipaka (geographycal) ya huo urafiki ni ipi Sky Eclat?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ndiwo niko zangu nanjilinji uku kwenye kichumba changu kimoja yani ni kistore kila kitu ndani mtu wa jf akuje aniwekee bango mana jf wote matajiri na wamejenga kasoro shunie mm tu sitaki matangazo tuendelee kuonana jf yatosha zaidi
[emoji23] [emoji23] [emoji23
 
itakuwa kila ijumaa kuanzia muda gani mpaka muda gani... au ni kukesha na story vinywaji, nyamaaa mziki nk
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umenichekesha sana!

Na kama kawaida yetu Wabongo kwani huwa tunakawia! [emoji2] [emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…