Ninatafuta marafiki

Ninatafuta marafiki

Wawe na uwezo wa kujichanganya, tutakuwa tuna kutana kila Friday na kualikana kwa mmoja wetu.
Host atapika chakula na kununua vinywaji. Anaweza kutu entertain na mziki au home cinema.

Hakuna kubaguana kuwa wewe ni wa ushuwani huwezi kwenda dinner Kwamtogole na Tandika

Karibuni
huu si ndio ubaguzi wenyewe?!!!
 
Wawe na uwezo wa kujichanganya, tutakuwa tuna kutana kila Friday na kualikana kwa mmoja wetu.
Host atapika chakula na kununua vinywaji. Anaweza kutu entertain na mziki au home cinema.

Hakuna kubaguana kuwa wewe ni wa ushuwani huwezi kwenda dinner Kwamtogole na Tandika

Karibuni
Hii ndio ilikuwa JF ya zamani.
 
Hii nzuri lakin iwe ya pombe tu,vyakula vipo tu cha umuhimu pombe[emoji482] [emoji482]
 
Tuanzie hapa we unakaa kwa mtogole au mbezi..
 
Wawe na uwezo wa kujichanganya, tutakuwa tuna kutana kila Friday na kualikana kwa mmoja wetu.
Host atapika chakula na kununua vinywaji. Anaweza kutu entertain na mziki au home cinema.

Hakuna kubaguana kuwa wewe ni wa ushuwani huwezi kwenda dinner Kwamtogole na Tandika

Karibuni
Mwisho wa reli (Tanganyika) mtakuja, au mipaka (geographycal) ya huo urafiki ni ipi Sky Eclat?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ndiwo niko zangu nanjilinji uku kwenye kichumba changu kimoja yani ni kistore kila kitu ndani mtu wa jf akuje aniwekee bango mana jf wote matajiri na wamejenga kasoro shunie mm tu sitaki matangazo tuendelee kuonana jf yatosha zaidi
[emoji23] [emoji23] [emoji23
 
itakuwa kila ijumaa kuanzia muda gani mpaka muda gani... au ni kukesha na story vinywaji, nyamaaa mziki nk
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ndiwo niko zangu nanjilinji uku kwenye kichumba changu kimoja yani ni kistore kila kitu ndani mtu wa jf akuje aniwekee bango mana jf wote matajiri na wamejenga kasoro shunie mm tu sitaki matangazo tuendelee kuonana jf yatosha zaidi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umenichekesha sana!

Na kama kawaida yetu Wabongo kwani huwa tunakawia! [emoji2] [emoji2]
 
Back
Top Bottom