[emoji23] [emoji23] [emoji23] umenichekesha sana!
Na kama kawaida yetu Wabongo kwani huwa tunakawia! [emoji2] [emoji2]
Tutakaa kitandani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ndiwo niko zangu nanjilinji uku kwenye kichumba changu kimoja yani ni kistore kila kitu ndani mtu wa jf akuje aniwekee bango mana jf wote matajiri na wamejenga kasoro shunie mm tu sitaki matangazo tuendelee kuonana jf yatosha zaidi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umeona eenh Ngushi wabongo hatukawii mpe picha tu story anatunga mwenyewe bora lawama kuliko fedheha sitaki mm
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umeona eenh Ngushi wabongo hatukawii mpe picha tu story anatunga mwenyewe bora lawama kuliko fedheha sitaki mm
Uchochezi huo!Hih!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
we tualike tuje tu,
Tukitoka hapo mbiooooo kuja kukuanzishia uzi hapa
Heading "Kumbe shunie analala na ndoo za maji , majembe na unga kwenye chumba kimoja" [emoji2]
Mama Asprin sitaki mkuje hata mkae kwenye ndoo kitanda chenyewe sina niko nalala chiniTutakaa kitandani
Yote maisha mkuu, Wachina wa vijijini wanalala na bata chumbani[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
we tualike tuje tu,
Tukitoka hapo mbiooooo kuja kukuanzishia uzi hapa
Heading "Kumbe shunie analala na ndoo za maji , majembe na unga kwenye chumba kimoja" [emoji2]
Uchochezi huo!
Nani amekwambia ucheke kihutu [emoji23]
acha uchoyo shunie[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Acha nipambane na hali yangu shunie mm sitaki mabango sitaki kwenda kwa mtu na wala sitaki mtu aje kwangu
acha uchoyo shunie[emoji2]
hahaha unaogoa siredi enhee [emoji23] [emoji23] [emoji23]Acha niwe mchoyo tu
[emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Acha nipambane na hali yangu shunie mm sitaki mabango sitaki kwenda kwa mtu na wala sitaki mtu aje kwangu
hahaha unaogoa siredi enhee [emoji23] [emoji23] [emoji23]
HAHAHAHAH![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umeona eenh Ngushi wabongo hatukawii mpe picha tu story anatunga mwenyewe bora lawama kuliko fedheha sitaki mm
nicheki PM basi mamaSana tu tena wale ninaweza kinga na nao tukawafanyia wageni surprise ya mdundiko
Wabongo unawajua wewe!Yote maisha mkuu, Wachina wa vijijini wanalala na bata chumbani
Wabongo unawajua wewe!Yote maisha mkuu, Wachina wa vijijini wanalala na bata chumbani