Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Sheria za U18 hizoSheria hairuhusu u20 kunywa pombe na dinner zeta zitakuwa na wine kwa wanaopenda
Ushapata hao marafiki??Katina yetu ni 20+
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]Sheria hairuhusu u20 kunywa pombe na dinner zeta zitakuwa na wine kwa wanaopenda
[emoji12] [emoji12] [emoji12]Mi ningejiunga ila sina amani kuwakaribisha STORE! Na JF tulivo masnitch, mtanianzishia Uzi mfululizo utasema namiliki vyeti feki!
Hiki chumba changu kimoja sidhani kama kitawatosha [emoji15] [emoji15] [emoji15]Ni rotation itafika zamu yako sasa utmuomba mama yako ukaribishe wageni?
Mbona ulishafikaMuda wako ukifika karibu
Yesu Kristo wa Nazareth!!!Wawe na uwezo wa kujichanganya, tutakuwa tuna kutana kila Friday na kualikana kwa mmoja wetu.
Host atapika chakula na kununua vinywaji. Anaweza kutu entertain na mziki au home cinema.
Hakuna kubaguana kuwa wewe ni wa ushuwani huwezi kwenda dinner Kwamtogole na Tandika
Karibuni
Mkuu afanye hiyo ifanyike mahali popote, home au away from home maana wenyenyumba wengine wantons wivu wapangajj wanavyotembelewa! Sasa ndo waje hawa wa JF na migari yao ile wanayoisemaga humu:Escalade,Jeep,Vogue, Aud, and the likes, si tutapandishiwa kodi kwa kuwa na marafiki wenye mihela halafu wamekuja kumringishia, em fikiria sehemu nyingine mkuu!Jichekee tu mkuu wangu maisha yenyewe mafupi haya [emoji16][emoji16]
Okay, ningependa kuwa mmoja wapo lkn tatizo mudaWawe na uwezo wa kujichanganya, tutakuwa tuna kutana kila Friday na kualikana kwa mmoja wetu.
Host atapika chakula na kununua vinywaji. Anaweza kutu entertain na mziki au home cinema.
Hakuna kubaguana kuwa wewe ni wa ushuwani huwezi kwenda dinner Kwamtogole na Tandika
Karibuni
Shoga tujipange twende kwa bibi...Wanakuja